wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Sio mara ya kwanza au ya pili kusikia hii habari hata siku za nyuma niliwahi sikia kuwa eti zile punje wanazotengenezea shanga hawa wamasai huwa eti zinaokotwa baharini pale maji ya bahari yanapohama kwenye ule mchanga eti ukienda kupepeta ule mchanga unazikuta zile punje hivi kuna ukweli wowote au ni maneno tuu ya kijiweni,naomba mwenye kujua anitoe tongotongo.