Hivi ni kweli castle lite inapunguza hamu ya 'sex'?

Mfikiri

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
586
124
Jamani nimekutana na hii kitu mitaani wakati nagonga castle lite yangu ya baridddddddiiiiii kitaaa baada ya kutoka kupambana na majukumu ya kujenga taifa. kijana mmoja nilikuwa nimekaa nae meza moja tukibadilishana mawazo ndipo akanimegea hii kitu, nami nikaanza tafakari, je kuna ukweli katika hili, kwa wale wenye utaalamu na hili naomba wanijuze niipotezee kwani nimeanza kugonga hii makitu ni wiki ya pili( baada ya kutokea kwenye kilele cha ubora kilimanjaoro) ila bado performance home naona bado ipo sawa. naogopa isije shuka ikawa noma. huyu jamaa alienijuza nae kapata juu juu hana evidence.
 
Hata mimi nilishawahi kusikia hii habari tena huyo mtu akaongeza kwamba inaongeza na makalio.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Bia zote ukinywa bila tahadhali zinapunguza, ukiwa chakali unategemea nini?
 
Jamani nimekutana na hii kitu mitaani wakati nagonga castle lite yangu ya baridddddddiiiiii kitaaa baada ya kutoka kupambana na majukumu ya kujenga taifa. kijana mmoja nilikuwa nimekaa nae meza moja tukibadilishana mawazo ndipo akanimegea hii kitu, nami nikaanza tafakari, je kuna ukweli katika hili, kwa wale wenye utaalamu na hili naomba wanijuze niipotezee kwani nimeanza kugonga hii makitu ni wiki ya pili( baada ya kutokea kwenye kilele cha ubora kilimanjaoro) ila bado performance home naona bado ipo sawa. naogopa isije shuka ikawa noma. huyu jamaa alienijuza nae kapata juu juu hana evidence.

......ni wewe na stimu zako, kuna wanaokunywa klorokwini wakapona, na wengine zinawawasha.
 
Acha kutumia kwanza wakati unatafuta jibu kutoka kwa wataalam(hicho sio chakula)ukiacha kwa mda si viabaya.
 
asilimia kubwa ya pombe katika sex ni metaphor ya kupanda mlima, unapanda hadi juu kisha unashuka namaanisha nyingi zinakupandisha kisha zinakushusha hapo ndio kwishney, kwa Cstle lIttele jiulize ni kwa nini zinpendwa sana na wanawake zinawalegeza sana kwa wanaume ni kinyume...............sina utafiti wa kisayansi
 
duh hyo ki2 sio kweli wadau me naipinga kabisaaaaaaaaaaaaaaa mm nakula chui jamaa yangu anakula lite lakin kisipite kitu mbele hakiachi na kaanza mua mrefu tu sana hadi ss anagonga lite
 
Kwasababu hakuna mwenye uhakika na hilo, wee unaonaje uendelee kunywa ili badae ututhibitishie kama ni kwel au laa??
 
Back
Top Bottom