Afisa Muuguzi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 215
- 173
Kama kichwa kinavyoeleza.
Kumekua na kasumba au dhana fulani ambayo imejengeka katika jamii kuwa kuna watu ukiwa nao kwenye mahusiano basi wanaweza kukusababishia mikosi au nuksi..
Hii namaanisha kwamba kijana wa kiume au binti wa kike kuna muda unatakiwa kuangalia aina ya watu wa kuwa nao katika mahusiano..
Mathalani mwanaume unaweza ukawa upo vizuri kiuchumi ikatokea ukaingia kwenye mahusiano na mwanamke fulani basi baada ya muda unajikuta unaanza kufilisika mara mambo hayakuendei kila kukicha mabalaa hali inayokupelekea kuhisi labda mtu ulienae ndio kisababishi..Na kwa wanawake pia kinyume chake.
Najua wengi wamewahi kusikia hii kitu au wengine imewahi kuwatokea japo sina hakika kama ni ukweli au maneno tu..
Wana MMU hembu tupeni uzoefu katika hili je? Ni ishu ambayo ipo au porojo tu za watu wasiopenda maendeleo..
Mshana Jr Sky Eclat joanah Extrovert Zero IQ Kingsmann
Kumekua na kasumba au dhana fulani ambayo imejengeka katika jamii kuwa kuna watu ukiwa nao kwenye mahusiano basi wanaweza kukusababishia mikosi au nuksi..
Hii namaanisha kwamba kijana wa kiume au binti wa kike kuna muda unatakiwa kuangalia aina ya watu wa kuwa nao katika mahusiano..
Mathalani mwanaume unaweza ukawa upo vizuri kiuchumi ikatokea ukaingia kwenye mahusiano na mwanamke fulani basi baada ya muda unajikuta unaanza kufilisika mara mambo hayakuendei kila kukicha mabalaa hali inayokupelekea kuhisi labda mtu ulienae ndio kisababishi..Na kwa wanawake pia kinyume chake.
Najua wengi wamewahi kusikia hii kitu au wengine imewahi kuwatokea japo sina hakika kama ni ukweli au maneno tu..
Wana MMU hembu tupeni uzoefu katika hili je? Ni ishu ambayo ipo au porojo tu za watu wasiopenda maendeleo..
Mshana Jr Sky Eclat joanah Extrovert Zero IQ Kingsmann