Itatusaidia kumfanya raisi wetu awe anaongea ukweli kila anapotoa speechHivi kukosoa kauli wa Rais wa nchi yako juu ya jambo hili la kitaifa na la kisiasa inatusaidia nini?
Itatusaidia kumfanya raisi wetu awe anaongea ukweli kila anapotoa speech
Si unamjua JK! Alisema vile ili apigiwe makofi; aliyapata kweli. Mtu mmja hapa kasema hata media wakati haikuwa active kivile m; watu walikuwa wachache Dar. Isingewezekana Mandela, miaka ile ya tisini kupata umati mkubwa kumlaki kama ilivyokuwa Obama. Nafikiri mkuu alidanganya bila kudhamiria!
Si unamjua JK! Alisema vile ili apigiwe makofi; aliyapata kweli. Mtu mmja hapa kasema hata media wakati haikuwa active kivile m; watu walikuwa wachache Dar. Isingewezekana Mandela, miaka ile ya tisini kupata umati mkubwa kumlaki kama ilivyokuwa Obama. Nafikiri mkuu alidanganya bila kudhamiria!
Hivi kukosoa kauli wa Rais wa nchi yako juu ya jambo hili la kitaifa na la kisiasa inatusaidia nini?
Kwani wingi wa watu unabainishwa na Media?....
Obama hafikii hata mapokezi aliyoyapata Papa Yohane Paulo wa Pili alipokuja Tanzania mwaka 1990
Hivi kukosoa kauli wa Rais wa nchi yako juu ya jambo hili la kitaifa na la kisiasa inatusaidia nini?
Subject ni Mandela Mkuu!
Hivi kukosoa kauli wa Rais wa nchi yako juu ya jambo hili la kitaifa na la kisiasa inatusaidia nini?
Hivi kukosoa kauli wa Rais wa nchi yako juu ya jambo hili la kitaifa na la kisiasa inatusaidia nini?