Shekizongoro
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 388
- 153
Mtoa mada kapotosha JK alichokisema ni rekodi yake haijawahi kuvunjwa na sio kwamba haijawahi kutokea..! Swali; Pope Paul na Mandela nani alitangulia kuja? Obama anashikilia rekod ya Usafi, Ulinzi labda na kuchezea mpira