Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Katika matembezi yangu ya weekend nilikwenda sehemu moja kwa mapumziko kwenye ufukwe wa bahari.
Wakati nimekaa pembeni yangu walikuwepo kina dada kama watano wakipiga story zao pembeni kuna watoto wao wanacheza.
Kwenye mazungumzo yao wakawa wanaongelea mambo ya mahusiano, mimi kusikia hivyo nikategesha vizuri masikio yangu ili kudaka data.
Dada mmoja akasema mume wangu ananikera sana yaani akitaka kufanya tendo la ndoa ananirukia tu akimaliza zake anageukia pembeni analala zake mpaka asubuhi.
Mwingine nae akasema yaani kama baba Paul, yupo hivyo hiyo ananiboa kweli hiyo tabia.
Mwingine nae akasema siku moja namwambia Mume wangu anichezee mwili wangu anikande kande akajibu sina muda, basi wote wakacheka huku wakiniangalia kama nawafuatilia mazungumzo yao, mimi nikajifanya busy na issue zangu nasoma gazeti langu.
Dada mmoja akasema hata kazini pale benki, wenzangu wanalalamika kweli wanabakwa na Waume zao kila siku, yaani 80% ya Wanawake waliopo kwenye ndoa wanabakwa na Waume zao wakacheka tena.
Wadau hivi ni kweli tujadili..
Katika matembezi yangu ya weekend nilikwenda sehemu moja kwa mapumziko kwenye ufukwe wa bahari.
Wakati nimekaa pembeni yangu walikuwepo kina dada kama watano wakipiga story zao pembeni kuna watoto wao wanacheza.
Kwenye mazungumzo yao wakawa wanaongelea mambo ya mahusiano, mimi kusikia hivyo nikategesha vizuri masikio yangu ili kudaka data.
Dada mmoja akasema mume wangu ananikera sana yaani akitaka kufanya tendo la ndoa ananirukia tu akimaliza zake anageukia pembeni analala zake mpaka asubuhi.
Mwingine nae akasema yaani kama baba Paul, yupo hivyo hiyo ananiboa kweli hiyo tabia.
Mwingine nae akasema siku moja namwambia Mume wangu anichezee mwili wangu anikande kande akajibu sina muda, basi wote wakacheka huku wakiniangalia kama nawafuatilia mazungumzo yao, mimi nikajifanya busy na issue zangu nasoma gazeti langu.
Dada mmoja akasema hata kazini pale benki, wenzangu wanalalamika kweli wanabakwa na Waume zao kila siku, yaani 80% ya Wanawake waliopo kwenye ndoa wanabakwa na Waume zao wakacheka tena.
Wadau hivi ni kweli tujadili..