Meshacky Allyson
Senior Member
- Oct 29, 2020
- 124
- 246
Hi wana JF, naomba niende kwa mada moja kwa moja, Binafsi Nimekuwa na marafiki wengi washkaji nk .ambao kiukweli tumekuwa wote tangu utotoni Hivyo tabia zao kwa kiasi kikubwa ninazijua vzr sana ,Ni nzuri na za Hofu ya Mungu Kwa kiasi flani Ila Cha kushangaza wengi wao wakipata neema ya kuhama kwao na kupanga chumba nk.
Huwa Wanapatwa cjui na nini ,Yaan wanabadilisha mademu kila kukicha humo magetoni mpaka wengine unaona bora wangebaki kwao mpaka akili itulie vzr kdg .Huwa najiuliza ni haya mageto ndio yanawapa amsha amsha ya kunyandua watoto wa watu au ni mtu mwenyewe tu , Maana wengi tabia ya uzinzi wameanza baada ya kusepa kwako na kuanza kuishi magetoni...Nipe experience yako mwana JF kwa nn wana wengi wana change behavior hata kama alikuwa na demu mmoja ..cha ajabu baada ya kuwa na geto basi anabadilisha kama nguo.
Uzi nawasilisha
Huwa Wanapatwa cjui na nini ,Yaan wanabadilisha mademu kila kukicha humo magetoni mpaka wengine unaona bora wangebaki kwao mpaka akili itulie vzr kdg .Huwa najiuliza ni haya mageto ndio yanawapa amsha amsha ya kunyandua watoto wa watu au ni mtu mwenyewe tu , Maana wengi tabia ya uzinzi wameanza baada ya kusepa kwako na kuanza kuishi magetoni...Nipe experience yako mwana JF kwa nn wana wengi wana change behavior hata kama alikuwa na demu mmoja ..cha ajabu baada ya kuwa na geto basi anabadilisha kama nguo.
Uzi nawasilisha