arete
Member
- Sep 26, 2012
- 7
- 3
Kiukweli nimeona nilete hoja hii humu ndani tuijadili, kwanini wanaume wengi wamekuwa ni chanzo cha uvunjifu wa ndoa? kwa kawaida mwanaume anapoingia kwenye ndoa mwanzo humpenda sana mkewe na wala hafikiri kama kuna siku atacheat kadhalika mkewe, lakini miaka michache au hata miezi michache baadaye utasikia ndoa imeanza kuyumba na sababu kubwa ni wanaume kwanini lakini????????????? mi kwa utafiti na uchunguzi nilioufanya kwa wanawake na wanaume wenye ndoa zao nimegundua tatizo husababishwa na wanaume, labda niwaulize wanaume mtusaidie majibu ili turekebishe penye mapungufu ili twende sawa na ndoa zidumu twafaaaaaaaaa