Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,785
Je, sisi ni violent society? Watanzania wanapenda sana kutumia nguvu kutatua tatizo, kila kitu utasikia nitakutandika, hata JF utasikia mtu anakwambia ungekuwa karibu yangu ningekupiga ngumi, kidogo utasikia yule jamaa karibia nimzabe makofi, sasa ni kwa nini? Ni nani anakupa haki ya kumzaba makofi mwingine? Kwa nini hamuwezi kutatua matatizo bila ya kupiga?
Ukimpiga mtu unasikiaje?
Ukimpiga mtu unasikiaje?