Hivi ni kwanini Wasimamizi wa uchaguzi "wanaagizwa" kuwatangaza wagombea wa CCM kuwa washindi kwenye chaguzi ndogo nchini?

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,480
30,152
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005, ibara ya 3(1) inaanisha kuwa nchi yetu itakuwa ya kidemokrasia yenye mfumo wa vyama vingi

Ingawa Katiba yetu inabainisha hivyo, kiutendaji ni kama nchi yetu ipo kwenye mfumo wa chama kimoja

Nitaorodhesha hapa sababu zangu zenye ushahidi wa mazingira kuoyesha uhalisia wa hoja yangu

1. Kwenye chaguzi ndogo zilizopita chama cha CCM kiliibuka na ushindi wa asilimia 100, tena kwenye kata 30 kati ya kata 77 walizogombea madiwani, CCM walitangazwa washindi bila kupingwa kwa sababu ambazo nyingine hazina mashiko kuwa eti miongoni ya wagombea wa upinzani walibainika kuwa siyo raia halali wa nchi hii!

2. Mkuu wa nchi kuwatangazia wateule wake kuwa hakuna kuwa "nyutro" katika Utendaji wao kwa kuwa wanalazimika kutekeleza ilani za Chama cha Mapinduzi!

3. Tulimsikia pia Jiwe akiwaagiza wateule wake maDED katika moja ya hotuba zake akiwaambia kuwa "Nimekuteua wewe ninakupa gari nzuri ya kutembelea na mshahara mnono na marupurupu na nyumba nzuri ya kuishi, halafu nisikie umemtangaza mgombea wa upinzani kuwa ameshinda..........." Mwisho wa kunukuu

4. Pale yanapotangazwa matokeo ya chaguzi hizo huwa tunaona maaskari wengi tu wa Jeshi la Polisi wenye silaha za moto. Hivi kwenye chaguzi huru na haki, kuna haja gani ya kutangaza matokeo huku kuna magari mengi ya washawasha??

5 Tulimsikia aliyekuwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makala, akiutangazia Umma wa watanzania kuwa ataomba msamaha kwa Mkuu wa nchi eti kwa sababu kwenye kata yake moja kushinda mgombea wa chama cha upinzani!

Anawezaje kuomba msamaha kwa Rais kwa kushindwa uchaguzi kwenye nchi inayoendeshwa kwenye mfumo wa vyama vingi??

Je kosa lake hapo ni lipi kama siyo Rais huyo "kuwaagiza" wakuu hao wa mikoa kuwa ni lazima CCM ishinde kwa asilimia 100??

Mkuu huyo wa Mkoa hata hivyo katika mabadikiko yaliyotokea hivi karibuni ameondolewa kwenye Mkoa huo!

Huo ni ushahidi wa mazingira kuwa nchi yetu ingawa kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu inaendeshwa kwa mfumo wa vyama vingi, lakini kiuhalisiia ni kama inaendeshwa kwa mfumo wa chama kimoja
 
Yote ni sawa ila wakumbuke kuwa Sadam alijitangazia kushinda uchaguzi kwa 100%, Muda mfupi baadaye sanamu lake liliangushwa ardhini na yeye anaozea kaburini. Hakuna mwenye nchi isipokua wananchi wenyewe.
Ndiyo kama hapa kwetu, kwenye chaguzi ndogo zilizopita wasimamizi wa uchaguzi waliwatangaza CCM kuwa wameshinfa kwa asilimia 100, tena kwenye kata 30 ya kata 77, CCM wakitangazwa kuwa washindi bila kupingwa!

Hivi hiyo inawezekanaje kwenye nchi inayodai inaendeshwa katika mfumo wa kidemokrasia wa vyama vingi??
 
Hao wasimamizi wetu wa uchaguzi kama wanaenda makanisani na misikitini ni lazima watambue kuwa watajibu madhambi yao huko akhera baada ya kifo......

Na wanapaswa watambue kuwa hayo "maagizo" toka juu hayatakuwa utetezi wao kwa Mungu na badala yake watahukumiwa moto wa milele na milele kwa kutowatendea haki watanzania walipokuwa hapa duniani

Njia pekee ya wao kujisalimisha ni kwa wao kutenda kazi yao kwa weledi bila kujali shinikizo toka juu
 
Tujikite vijijini wa mjini wameshapata somo bila ya hivyo ccm itatawala milele mtabaki na kilio cha wateule wenzenu wanasonga.Ujumbe sio lazima wote tuipende chadema ndio uwe na akili!
Lakini nyinyi CCM hicho mnachokiita kupata ushindi wa kishindo, kumbe mnategemea na "combination" yenu ya Wasimamizi wa uchaguzi+Polisi+Immigration=CCM

Kwenye matokeo ya chaguzi hizo huwa mnajaza mapolisi, je kama mnatangaza matokeo halali, ni kwanini mnajaza vikosi vya Polisi kabla ya kutangaza matokeo hayo??
 
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005, ibara ya 3(1) inaanisha kuwa nchi yetu itakuwa ya kidemokrasia yenye mfumo wa vyama vingi

Ingawa Katiba yetu inabainisha hivyo, kiutendaji ni kama nchi yetu ipo kwenye mfumo wa chama kimoja

Nitaorodhesha hapa sababu zangu zenye ushahidi wa mazingira kuoyesha uhalisia wa hoja yangu

1. Kwenye chaguzi ndogo zilizopita chama cha CCM kiliibuka na ushindi wa asilimia 100, tena kwenye kata 30 kati ya kata 77 walizogombea madiwani, CCM walitangazwa washindi bila kupingwa kwa sababu ambazo nyingine hazina mashiko kuwa eti miongoni ya wagombea wa upinzani walibainika kuwa siyo raia halali wa nchi hii!

2. Mkuu wa nchi kuwatangazia wateule wake kuwa hakuna kuwa "nyutro" katika Utendaji wao kwa kuwa wanalazimika kutekeleza ilani za Chama cha Mapinduzi!

3. Tulimsikia pia Jiwe akiwaagiza wateule wake maDED katika moja ya hotuba zake akiwaambia kuwa "Nimekuteua wewe nikukupa gari nzuri ya kutembelea na mshahara mnono na marupurupu na nyumba nzuri ya kuishi, halafu nisikie umemtangaza mgombea wa upinzani kuwa ameshinda..........." Mwisho wa kunukuu

4. Pale yanapotangazwa matokeo ya chaguzi hizo huwa tunaona maaskari wengi tu wa Jeshi la Polisi wenye silaha za moto. Hivi kwenye chaguzi huru na haki, kuna haja gani ya kutangaza matokeo huku kuna magari mengi ya washawasha??

5 Tulimsikia aliyekuwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makala, akiutangazia Umma wa watanzania kuwa ataomba msamaha kwa Mkuu wa nchi eti kwa sababu kwenye kata yake moja kushinda mgombea wa chama cha upinzani!

Anawezaje kuomba msamaha kwa Rais kwa kushindwa uchaguzi kwenye nchi inayoendeshwa kwenye mfumo wa vyama vingi??

Je kosa lake hapo ni lipi kama siyo Rais huyo "kuwaagiza" wakuu hao wa mikoa kuwa ni lazima CCM ishinde kwa asilimia 100??

Mkuu huyo wa Mkoa hata hivyo katika mabadikiko yaliyotokea hivi karibuni ameondolewa kwenye Mkoa huo!

Huo ni ushahidi wa mazingira kuwa nchi yetu ingawa kwa miujibu wa Katiba ya nchi yetu inaendeshwa kwa mfumo wa vyama vingi, lakini kiuhalisiia ni kama inaendeshwa kwa mfumo wa chama kimoja
Mlishaambiwa ole wao wateule waende wakafanye mambo neutral. Walitumwa kukitumikia chama tawala. Yaani wakurugenzi wapewe magari, nyumba, mishahara alafu wakatangaze upinzani kuwa umeshinda?
 
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005, ibara ya 3(1) inaanisha kuwa nchi yetu itakuwa ya kidemokrasia yenye mfumo wa vyama vingi

Ingawa Katiba yetu inabainisha hivyo, kiutendaji ni kama nchi yetu ipo kwenye mfumo wa chama kimoja

Nitaorodhesha hapa sababu zangu zenye ushahidi wa mazingira kuoyesha uhalisia wa hoja yangu

1. Kwenye chaguzi ndogo zilizopita chama cha CCM kiliibuka na ushindi wa asilimia 100, tena kwenye kata 30 kati ya kata 77 walizogombea madiwani, CCM walitangazwa washindi bila kupingwa kwa sababu ambazo nyingine hazina mashiko kuwa eti miongoni ya wagombea wa upinzani walibainika kuwa siyo raia halali wa nchi hii!

2. Mkuu wa nchi kuwatangazia wateule wake kuwa hakuna kuwa "nyutro" katika Utendaji wao kwa kuwa wanalazimika kutekeleza ilani za Chama cha Mapinduzi!

3. Tulimsikia pia Jiwe akiwaagiza wateule wake maDED katika moja ya hotuba zake akiwaambia kuwa "Nimekuteua wewe ninakupa gari nzuri ya kutembelea na mshahara mnono na marupurupu na nyumba nzuri ya kuishi, halafu nisikie umemtangaza mgombea wa upinzani kuwa ameshinda..........." Mwisho wa kunukuu

4. Pale yanapotangazwa matokeo ya chaguzi hizo huwa tunaona maaskari wengi tu wa Jeshi la Polisi wenye silaha za moto. Hivi kwenye chaguzi huru na haki, kuna haja gani ya kutangaza matokeo huku kuna magari mengi ya washawasha??

5 Tulimsikia aliyekuwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makala, akiutangazia Umma wa watanzania kuwa ataomba msamaha kwa Mkuu wa nchi eti kwa sababu kwenye kata yake moja kushinda mgombea wa chama cha upinzani!

Anawezaje kuomba msamaha kwa Rais kwa kushindwa uchaguzi kwenye nchi inayoendeshwa kwenye mfumo wa vyama vingi??

Je kosa lake hapo ni lipi kama siyo Rais huyo "kuwaagiza" wakuu hao wa mikoa kuwa ni lazima CCM ishinde kwa asilimia 100??

Mkuu huyo wa Mkoa hata hivyo katika mabadikiko yaliyotokea hivi karibuni ameondolewa kwenye Mkoa huo!

Huo ni ushahidi wa mazingira kuwa nchi yetu ingawa kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu inaendeshwa kwa mfumo wa vyama vingi, lakini kiuhalisiia ni kama inaendeshwa kwa mfumo wa chama kimoja
Unaweza leta clip katika hiyo hoja namba tatu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tujikite vijijini wa mjini wameshapata somo bila ya hivyo ccm itatawala milele mtabaki na kilio cha wateule wenzenu wanasonga.Ujumbe sio lazima wote tuipende chadema ndio uwe na akili!

Kuna binadamu ambao hawakustahili kuwa binadamu ila nguvu flani(shetani) alifosi wazaliwe. Don’t get me wrongly
 
Mlishaambiwa ole wao wateule waende wakafanye mambo neutral. Walitumwa kukitumikia chama tawala. Yaani wakurugenzi wapewe magari, nyumba, mishahara alafu wakatangaze upinzani kuwa umeshinda?

Hakika sisi wa Tz bado sana, hivi kama jiwe anatoa kauli kama hiyo na hakuna lolote lililotokea, je kipi hasa kitamfanya asiwe dikteta kamili au kututawala milele? SISI NI WAOGA
 
As it is CCM has lost all the by-elections. WHAT has been unnounced and done (Korogwe)is very unfortunate.What does it tell you about the election results in 2015???? What we see says THE GUILTY ARE AFRAID
 
Mlishaambiwa ole wao wateule waende wakafanye mambo neutral. Walitumwa kukitumikia chama tawala. Yaani wakurugenzi wapewe magari, nyumba, mishahara alafu wakatangaze upinzani kuwa umeshinda?
Lakini huyo Jiwe atakuwa anaisigina waziwazi Katiba ya nchi ambayo ameapa kuitii na kuilinda........

Lakini pia Jiwe anachopaswa kutambua ni kuwa wananchi wana "option" ya mwisho ambayo ni kuchagua kwa Uhuru na haki viongozi wanaowaona wanawafaa katika kuliendeleza eneo lao kupitia sanduku la kura........

Ikiwa watawala watakuwa na kiburi na kuziona hizo "ballot papers" kama upuuzi fulani vile, basi watambue wanakaribisha umwagikaji wa damu nchini!
 
Ukiwa na imani za kishirikina hata ukiumwa jino utasema umerogwa!
Wewe gamba hebu nieleze, hata hao ubalozi wa Marekani waliosema kuwa uchaguzi mdogo uliopita ulijaa vitendo vya ukiukwaji wa tatatibu zetu wenyewe za chaguzi hizo...........

Unataka kuniambia kuwa hata ubalozi huo una Imani za kishirikina??
 
As it is CCM has lost all the by-elections. WHAT has been unnounced and done (Korogwe)is very unfortunate.What does it tell you about the election results in 2015???? What we see says THE GUILTY ARE AFRAID
That principle of guilty are always unconscious applies........
 
Yote ni sawa ila wakumbuke kuwa Sadam alijitangazia kushinda uchaguzi kwa 100%, Muda mfupi baadaye sanamu lake liliangushwa ardhini na yeye anaozea kaburini. Hakuna mwenye nchi isipokua wananchi wenyewe.
That's very true

Ni lazima watawala waheshimu maamuzi ya wananchi kupitia sanduku la kura........

Hiki wanachokifanya hivi sasa hawa CCM cha kulazimisha wagombea wa CCM kuwa wameshinda chini ya usimamizi wa Jeshi la Polisi, hakika wanatengeneza Bomu, ambalo likilipuka halitatuacha salama.........
 
CCM wanajitekenya na kucheka wenyewe!. Wananchi wameshawakataa wamebaki kununua watu, kufanya dhulma, ubabe na uhuni wa kisiasa!

CCM ya leo haina hofu hata kidogo ya wananchi kwa sababu inategemea NEC, Polisi na Wakurugenzi !. Ni chama kilichopoteza legitimacy
 
Back
Top Bottom