huu ni uwendawazimu wa kifikra...wanadhania kujiajiri ni kazi ndogo halafu sijui wanaposema ujiajiri sijui katika kitu gani labda ndio tatizo lao lipo hapo...maana any ajira binafsi inataka capital ya kuanzisha sasa mtu katoka chuo iyo ela ya capital atapata wapi sasa...tuangalie cha kupost au kureply sio unaongea tuu jiajiri wakati hata kwako hauna fridge la kuuza ice cream...
mtaji mkubwa nadhani unapaswa kuwa fikira madhubuti na uweza wa kuchukua maamuzi magumu. Naamini ukiwa na fikra na mipango sahihi na uwezo wa kudhubutu-mtaji kwa maana ya pesa si tatizo.