Idara zengine ni neema kila kukicha. Elimu kuna shida gani? Unafanya kazi karibu miaka 10 hakuna kupanda cheo? Tatizo lipo wapi na nchi yetu ni Tajiri?
Wanadharauliwa na kuonewa Sana sababu hawajitambui, hawazijui haki zao, na pa kuzidai hawajui.
Hii ndio kada pekee ambayo watumishi wake hucharazwa bakora hadharani
Wanadharauliwa na kuonewa Sana sababu hawajitambui, hawazijui haki zao, na pa kuzidai hawajui.
Hii ndio kada pekee ambayo watumishi wake hucharazwa bakora hadharani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.