Hivi ni kwanini walimu hawapandi vyeo?

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,000
Idara zengine ni neema kila kukicha. Elimu kuna shida gani? Unafanya kazi karibu miaka 10 hakuna kupanda cheo? Tatizo lipo wapi na nchi yetu ni Tajiri?
 
Wapo wengi sana na ndio wanaongoza kwa unafiki, usipange jambo na mwalimu
 
Back
Top Bottom