Hicho hapo mkuuWakuu kitimoto ndo nini ili niiepuke nisije kufa ghafla!!!!
Kama huyo jamaaNimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu
Acha uchuro, wewe mzee wa shiriki..! Ukome kuzodoa kitoweo chetu swetani weweNimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu
Nimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu
Baba yangu anaila tangu yupo mdogo leo anamiaka89Nimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu
Nimekuwa nikishangaa sana aisee kwamba kwanini walaji wa nyama ya nguruwe aka kitimoto hufa vifo vya ghafla?
Hadi sasa sijapata majibu lakini nadhani kuna athari fulani kutokana na kula nyama hiyo.
Nawakaribisha wataalamu