kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,630
- 5,135
Nimecheza michezo ya martial arts shorinji karate kuanzia nipo High school Kibaha sec. Hapa nilikuwa nakutana na vijana wengi walio hatua mbalimbali umahili wa michezo ya karate ila wengi wao ni jobless na wanavuta sana bhangi.
Nikiwa likizo nyumbani bado nilitembelea dojo mbali mbali na kukutana na vijana wengi wajuzi wa huu mchezo. Ila wengi wao vile vile hawana future kimaisha .
Wengi walikuwa wenyeji wazuri wa mahabusu za polis na kupiga mizinga wakiona mtu wanayefahamiana.
Nimecheza martial art hadi chuo kikuu ambapo baadaye nilipunguza kasi nasasa nimeacha kabisa. Nikiwa university Moro hapa kuna kijana alikua mahili sana wa goju ryu karate akiitwa Badu. Tatizo lake lilikua bhangi na alikua jobless na sasa amekua chizi.
Kuna mifano mingine mingi ya aina hiyo..hivi nikwanini hasa ? Huu mchezo wa karate una laana gani. DSM, arusha na mikoa mingine yenye uharifu sana wacheza karate wengi ni vibaka pia na wanapiga ngumi usisubiri.
Nikiwa likizo nyumbani bado nilitembelea dojo mbali mbali na kukutana na vijana wengi wajuzi wa huu mchezo. Ila wengi wao vile vile hawana future kimaisha .
Wengi walikuwa wenyeji wazuri wa mahabusu za polis na kupiga mizinga wakiona mtu wanayefahamiana.
Nimecheza martial art hadi chuo kikuu ambapo baadaye nilipunguza kasi nasasa nimeacha kabisa. Nikiwa university Moro hapa kuna kijana alikua mahili sana wa goju ryu karate akiitwa Badu. Tatizo lake lilikua bhangi na alikua jobless na sasa amekua chizi.
Kuna mifano mingine mingi ya aina hiyo..hivi nikwanini hasa ? Huu mchezo wa karate una laana gani. DSM, arusha na mikoa mingine yenye uharifu sana wacheza karate wengi ni vibaka pia na wanapiga ngumi usisubiri.