Hivi ni kwanini vyombo vya habari/ waandishi wa habari Tanzania hawawezi wauliza viongozi maswali tunayoyatarajia?

data

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
26,149
22,726
Kwa mfano... Rais atapo tua nchini tokea huko alikoenda na Royal Tour. Wananchi tunatarajia maswali haya toka kwa vyombo vya habari...

1. Je, Mh. Rais unafikiri safari hii (Royal Tour) uloifanya ina manufaa yeyote kwa Watanzania masikini!?

2. Je, Mh. Rais unafikiri hotuba yako imekidhi/imejibu njaa ya Wa Tanzania wengi masikini na kuwapa mwanga wa tumaini jipya!?

3. Je, ni kweli hizi tozo zina manufaa kwa mlipaji wa chini kabisa au ndo zinafadhili safari kama hizo (royal tour)!? Na je ni gharama kiasi gani umetumia kwa tour hii? Wananchi wanapaswa kufahamu maana ni pesa zao.

4. Je, Ulikuwa comfortable kumuona Mange kimambi!? Utashawishi mamlaka ziruhusu arudi nchini!??

5. Kwanini hujaenda Canada kuangalia ndege zetu mbili utayari wake? Na zitatua lini Bongo?

6. Mfumuko wa bei. Je, Mh. Rais umekaa na wataalamu wa uchumi huko 'ulaya' kushauriana nao ni vipi utaweza dhibiti mfumuko wa bei. .. kama hujui. Mafuta ya kupikia lita 5..sasa ni 30,000!?

7. TOZO... ulituambia kwamba mnataka malizia maboma yaliyosimama nchi nzima.. hospital wards, dispensaries na madarasa, madawati na meza kwa ajili ya kuwapokea f1. Mmefikia wapi!? Maana pesa zetu mnazo...

8. BiMA YA AFYA KWA WATANZANIA WOTE..... Ipo kwenye ilani yenu... Mmefikia wapi?

19. Etc. Etc Etc.

Wakuu endeleeni... Maswali ya kumuuliza Mama ni mengi.. na wananchi tunataka majibu.
 
Waandishi ambao wana uwezo wa kuuliza maswali hayo karibia wote either wanajipendekeza kwa watawala au waoga, wanaogopa kuonekana "wapinga kristo"! Waliobaki ndiyo hawa type ya akina Zembwela...
 
Kwa mfano... Rais atapo tua nchini tokea huko alikoenda na Royal Tour. Wananchi tunatarajia maswali haya toka kwa vyombo vya habari...

1. Je! Mh. Rais unafikiri safari hii(Royal Tour) uloifanya ina manufaa yeyote kwa Wa TZ masikini!??

2. Je ! Mh. Rais unafikiri hotuba yako imekidhi/imejibu njaa ya Wa Tanzania wengi masikini na kuwapa mwanga wa tumaini jipya!?

3. Wewe kama Rais wa bahati mbaya.. Je! Huogopi pinduliwa kukaa nje ya nchi zaidi ya siku tatu!??

4. Je ni kweli hizi tozo zina manufaa kwa mlipaji wa chini kabisaa au ndo zinafadhili safari kama hizo (royal tour)!? Na je ni gharama kiasi gani umetumia kwa tour hii...!?? Wananchi wanapaswa kufahamu maana ni pesa zao.

5. Je! Ulikuwa comfortable kumuona Mange kimambi!? Utashawishi mamlaka ziruhusu arudi nchini!??

6. Kwanini hujaenda Canada kuangalia ndege zetu mbili utayari wake!? Na zitatua lini Bongo!?

7. Mfumuko wa bei. Je! Mh. Rais umekaa na wataalamu wa uchumi huko 'ulaya' kushauriana nao ni vipi utaweza dhibiti mfumuko wa bei. .. kama hujui. Mafuta ya kupikia lita 5..sasa ni 30,000!?

8. Kwanini unapenda vaa vile kama ulivyovaa siku ya kwanza kabisa ukichukua nchi... Black suit and a red cover up round your head!??

9. TOZO... ulituambia kwamba mnataka malizia maboma yaliyosimama nchi nzima.. hospital wards, dispensaries na madarasa, madawati na meza kwa ajili ya kuwapokea f1. Mmefikia wapi!?! Maana pesa zetu mnazo...

10. BiMA YA AFYA KWA WATANZANIA WOTE..... Ipo kwenye ilani yenu... Mmefikia wapi!??

11. Etc. Etc Etc.

Wakuu endeleeni... Maswali ya kumuuliza Mama ni mengi.. na wananchi tunataka majibu.
Udikteta mkuu..
Wanaogopa kutekwa na kubambikiziwa kesi za uongo!
 
Waandishi ambao wana uwezo wa kuuliza maswali hayo karibia wote either wanajipendekeza kwa watawala au waoga, wanaogopa kuonekana "wapinga kristo"! Waliobaki ndiyo hawa type ya akina Zembwela...
Tatizo ni nini Mkuu ..!!!?
This is a serious matter .

Mbona tutakua taifa la kiboya sana.
 
Hii taaluma inahitaji ijengewe chuo kikuu na serikali kule mabwepande Kwa sumaye kiwe chao pekee kibobee ndo utapata maswali hayo
Kuna shida nchi hii... Sidhani kama hata hili usemalo litakuwa solution..

Pasco aliwahi muuliza Magufuli(RIP) pale ikulu swali gumu kidogo.. nafikiri unakumbuka jibu. Alimwambia... " Mayala kwetu sisi maana yake ni NJAA"
 
Nafikiri hizo zama zimepita...
Nakumbuka Rais alisema anaruhusu kosolewa..ila kwa stara.

Sema tu ndo waandishi hovyooo...
Ingekuwa hivyo, hao mapolisi ndiyo wangezuia hata jogging ya wale kina mama wa Chadema??

Hii nchi hivi sasa inaendeshwa kidikteta.
Full stop
 
Bila shaka ukiuliza hayo maswali utapata majibu mengi tena kwa vitendo mfano utakosa teuzi, utafanyiwa figisu kama vile kupotezwa, utazimwa kijanja.

Anyway let me welcome our sincerely journalist Pascal Mayalla asema chochote.
 
Nenda kosome moja ya andiko la Pasko Mayala humu, baada ya kumuuliza lile swali 'Shujaa' na baada ya kuandika kuhusu mapungufu ya Bunge nini kilimpata.
Alieleza wazi kabisa kwamba mirija yake ya kiuchumi ilipigwa gundi, ikafika hatua hata jengo alilopangisha kama ofisi ya shughuri zake akashindwa kulipa kodi.

Hii nchi CCM inataka watu LOYAL to the Government (Wasifiaji na wenye ukimya hata kama jambo siyo jema).

Vituo vikubwa vya habari ni IPP (ITV, EATV, RADIO ONE, CAPITAL na Magazeti yao) na CLOUDS GROUP, tayari baadhi wamelemba TEUZI hivyo wamejenga UTII kwa Serikali kama TAASISI.
 
Kuna mwalimu SAUT alikuwa anafundisha investigative journalism alikuwa anatoa vitisho Sana kufanya habari hizo badala ya motisha mwisho wanafunzi wengi ambao ndo waandishi wajao wanajazwa uoga kudeal na very critical issues concern the nation and looking for shallow or narrow issues hivyo hivi vitu msingi wake upo jikoni.
 
Kwa mfano... Rais atapo tua nchini tokea huko alikoenda na Royal Tour. Wananchi tunatarajia maswali haya toka kwa vyombo vya habari...

1. Je, Mh. Rais unafikiri safari hii (Royal Tour) uloifanya ina manufaa yeyote kwa Watanzania masikini!?

2. Je, Mh. Rais unafikiri hotuba yako imekidhi/imejibu njaa ya Wa Tanzania wengi masikini na kuwapa mwanga wa tumaini jipya!?

3. Je, ni kweli hizi tozo zina manufaa kwa mlipaji wa chini kabisa au ndo zinafadhili safari kama hizo (royal tour)!? Na je ni gharama kiasi gani umetumia kwa tour hii? Wananchi wanapaswa kufahamu maana ni pesa zao.

4. Je, Ulikuwa comfortable kumuona Mange kimambi!? Utashawishi mamlaka ziruhusu arudi nchini!??

5. Kwanini hujaenda Canada kuangalia ndege zetu mbili utayari wake? Na zitatua lini Bongo?

6. Mfumuko wa bei. Je, Mh. Rais umekaa na wataalamu wa uchumi huko 'ulaya' kushauriana nao ni vipi utaweza dhibiti mfumuko wa bei. .. kama hujui. Mafuta ya kupikia lita 5..sasa ni 30,000!?

7. TOZO... ulituambia kwamba mnataka malizia maboma yaliyosimama nchi nzima.. hospital wards, dispensaries na madarasa, madawati na meza kwa ajili ya kuwapokea f1. Mmefikia wapi!? Maana pesa zetu mnazo...

8. BiMA YA AFYA KWA WATANZANIA WOTE..... Ipo kwenye ilani yenu... Mmefikia wapi?

19. Etc. Etc Etc.

Wakuu endeleeni... Maswali ya kumuuliza Mama ni mengi.. na wananchi tunataka majibu.
Nao wana familia zinazowategemea.
Sema wanachoudhi Ni kuuliza maswali,ilibidi hata Hilo swali moja wasiulize.Waende Kama watazamaji na wasikilizaji tu.
 
Kwa mfano... Rais atapo tua nchini tokea huko alikoenda na Royal Tour. Wananchi tunatarajia maswali haya toka kwa vyombo vya habari...

1. Je, Mh. Rais unafikiri safari hii (Royal Tour) uloifanya ina manufaa yeyote kwa Watanzania masikini!?

2. Je, Mh. Rais unafikiri hotuba yako imekidhi/imejibu njaa ya Wa Tanzania wengi masikini na kuwapa mwanga wa tumaini jipya!?

3. Je, ni kweli hizi tozo zina manufaa kwa mlipaji wa chini kabisa au ndo zinafadhili safari kama hizo (royal tour)!? Na je ni gharama kiasi gani umetumia kwa tour hii? Wananchi wanapaswa kufahamu maana ni pesa zao.

4. Je, Ulikuwa comfortable kumuona Mange kimambi!? Utashawishi mamlaka ziruhusu arudi nchini!??

5. Kwanini hujaenda Canada kuangalia ndege zetu mbili utayari wake? Na zitatua lini Bongo?

6. Mfumuko wa bei. Je, Mh. Rais umekaa na wataalamu wa uchumi huko 'ulaya' kushauriana nao ni vipi utaweza dhibiti mfumuko wa bei. .. kama hujui. Mafuta ya kupikia lita 5..sasa ni 30,000!?

7. TOZO... ulituambia kwamba mnataka malizia maboma yaliyosimama nchi nzima.. hospital wards, dispensaries na madarasa, madawati na meza kwa ajili ya kuwapokea f1. Mmefikia wapi!? Maana pesa zetu mnazo...

8. BiMA YA AFYA KWA WATANZANIA WOTE..... Ipo kwenye ilani yenu... Mmefikia wapi?

19. Etc. Etc Etc.

Wakuu endeleeni... Maswali ya kumuuliza Mama ni mengi.. na wananchi tunataka majibu.
Waandishi wa Habari kina TBCCM.
 
Back
Top Bottom