mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Nimekua humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana mkuu limekuja tuu sjui kwa nini wakuu?
Mkuu pole sana kwa kuwa ndio mara yako ya kwanza kusikia hili neno '' MKUU'' ki ukweli mimi ni mmoja wapo wa watu wanaopenda kulitumia neno MKUU kwanza linarahisisha mawasiliano mathalani unaenda ofisi fulani afu hujui huyo mtu ana cheo gani....basi ili upate urahisi wa kuongea naye unatumia neno mkuu....'' mfano habari ya saahizi mkuu?'' naye atakujibu kwa uungwana salam ndugu yangu.....Kwa kifupi ndo mambo kama hayo mkuu.