Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekua humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana mkuu limekuja tuu sjui kwa nini wakuu?
binafsi naitumia mkuu kuzuia offence kwa watu...kwa sababu hatujuani umri na jinsia naamua kulitumia mkuu kumtaja mtu..ndo hivo mkuu
wakuu napita jamani
wasalimie uendako mkuu!wakuu napita jamani
usifanye hivyo mkuu,wengine ndio tumeamka sasa tunahitaji kuchangiaHili ndilo jibu sahihi, hivyo thread ifungwe.
mkuu mbona hii ipo tangu zamani? jaribu kuanga thread za 2006. zamani tulikua tunaitana wakuu. ukishajiunga jf unapata cheo cha mkuu na uliyemkuta anakua ni mkuu pia. mia