Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Nimekuwa nafuatilia sana,kwa hesabu ya haraka haraka hili neno linatajwa zaidi ya mara mia kwa siku kwenye comment na post.....aloyeanzisha hili neno humu alilenga nin,au ni mbadara wa neno lipi hasa humu ndani.waswahili na waelewa na hata wamapovu mwaweza kuja kuniongezea cha kufikiria.

by emma mjasiriamali
Ndio utaratibu wa huku mkuu
 
Very simple Mkuu.
Tunatumia neno "mkuu" sababu hatujuani humu,hatujui nani mkubwa na nani mdogo..hatujui nani mwanamke na nani mwanaume hivyo neno mkuu linafaa kutumika sehemu yeyote.
Nafikiri umenielewa kidogo mkuu
Well explained

by emma mjasiriamali
 
Nimekuwa nafuatilia sana,kwa hesabu ya haraka haraka hili neno linatajwa zaidi ya mara mia kwa siku kwenye comment na post.....aloyeanzisha hili neno humu alilenga nin,au ni mbadara wa neno lipi hasa humu ndani.waswahili na waelewa na hata wamapovu mwaweza kuja kuniongezea cha kufikiria.

by emma mjasiriamali

= mbadala

Ni ujinga tu kuitana "mkuu" kama ulivyo ujinga wa kutokuelewa wapi pakutumia R na wapi pakutumia L kwenye maandiko.
 
Nimekuwa nafuatilia sana,kwa hesabu ya haraka haraka hili neno linatajwa zaidi ya mara mia kwa siku kwenye comment na post.....aloyeanzisha hili neno humu alilenga nin,au ni mbadara wa neno lipi hasa humu ndani.waswahili na waelewa na hata wamapovu mwaweza kuja kuniongezea cha kufikiria.

by emma mjasiriamali
Mimi huwa siliutumii
 
Member wote wa jf n watumish wa uma

[Color= yellow]Triple A[/color]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom