FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
- Thread starter
- #41
Acha fujo wewe..hii thread ni ya ki mbwa, tena ki cadaver kabisa...
Acha fujo wewe..hii thread ni ya ki mbwa, tena ki cadaver kabisa...
kwa kifupi:
yote ni sahihi yalitukia.
Kila moja lilitukia kwa wakati wake.
Binadamu wale wa olduvai,mungu aliamua kuwafutilia mbali... Pamoja na mijusi mikubwa ''dinno'' na viumbe wengine wa ajabu.
Ndipo akaipanga dunia upya na kumuweka adam na ubavu wake kama ''mfano'' wa bin adamu wengine sehemu mbalimbali za dunia.
Takriban miaka million 55 iliyopita kulitokea tukio la kimaafa linalojulikana Kama KPG impact ambapo jiwe kubwa lenye upana Wa mamia ya maili lilianguka na kuleta madhara sawa na mabomu laki moja ya nuclear ambapo asilimia 99 ya viumbe vote duniani vilitoweka.
Tukio hili limekuwa proven beyond doubt. Je biblia haikuona umuhimu Wa kubainisha hili kinagaubaga?!
Kwa maelezo zaidi CretaceousâPaleogene extinction event - Wikipedia, the free encyclopedia
Nenda kasome methods of scientific dating. Hayo maswali mengine jijibu mwenyewe!Hii miaka wameipataje ??
kwa nini uiamini ??
kwa nini uamini KPG ilitokea ??
na kwa nini unataka iandikwe kwenye biblia ??
Nenda kasome methods of scientific dating. Hayo maswali mengine jijibu mwenyewe!
Takriban miaka million 55 iliyopita kulitokea tukio la kimaafa linalojulikana Kama KPG impact ambapo jiwe kubwa lenye upana Wa mamia ya maili lilianguka na kuleta madhara sawa na mabomu laki moja ya nuclear ambapo asilimia 99 ya viumbe vote duniani vilitoweka.
Tukio hili limekuwa proven beyond doubt. Je biblia haikuona umuhimu Wa kubainisha hili kinagaubaga?!
Kwa maelezo zaidi CretaceousâPaleogene extinction event - Wikipedia, the free encyclopedia
Hii sio hoja ya msingi hapaWe jamaa swala la uwepo wa mungu bado linakusumbua tu hadi leo?
Hii sio hoja ya msingi hapa
weka ukweli..
Ndugu.., nani kakwambia dunia ina miaka million 55, our Eath is about 4 billion years old!Nidhibitishie kuwa dunia ina miaka million 55 kwanza ndo nikuwekee ukweli
hii kitu haipo wikipedia as an authority..,bali ipo pale kusambaza knowledge. hii imekuwa recorded kwenye papers na journals za kila aina. legeza ubongo.
Ndugu.., nani kakwambia dunia ina miaka million 55, our Eath is about 4 billion years old!
Mi hata namshangaa jinsi anavyojichanganya sijui kakurupukia wapi, analeta vitu visivyokuwa na fact yoyote humuBrother acha ushamba, vitu vingine uwe unafikiria kabla hujaleta humu. Sio lazima uweke bandiko kama huna cha kubandika.
Acha kujibu kwa kukurupuka unajiaibisha bure.., soma vizuri.., nimesema 4 BILLION NA SIO MILLION!Naona unanichanganya tu, kwenye bandiko unasema kuna tukio lilitokea miaka million 55 iliyopita, hili tukio la KPG lilitokea wapi kama hapa unasema dunia yetu ina umri wa million 4!!!!!? Sasa kama unaamini dunia yetu ina umri wa miaka million 4 kwa nini uamini tena kuna tukio KPG lilitokea miaka million 55 iliyopita, je tukio hili lilitokea kwenye dunia hii hii au unamaanisha dunia nyingine
Ndugu.., nani kakwambia dunia ina miaka million 55, our Eath is about 4 billion years old!
Acha maswali ya kimbwa.., google mwenyewe..!Hebu thibitisha sio habari za vijiweni unatuletea hapa
Acha kujibu kwa kukurupuka unajiaibisha bure.., soma vizuri.., nimesema 4 BILLION NA SIO MILLION!