Hivi ni kwanini tukio la KPG halijaandikwa kwenye vitabu vitakatifu?!

jamani eeeh punguzeni povu! mada mbona nzuri na tunaweza kukubaliana kutokukubaliana na tukabaki vizuri? inasikitisha sana kuona watu wanatukanana na kuitana mazombi ni vitu vya ajabu kwa kweli hili jina great thinker tujaribu kulipa heshma yake. kuna wengine wanataka waonwe wenyeji kama vile wamezaliwa JF.
Tuwe waungwana na kuvumiliana kashfa na matusi havijengi khasa kwa umri wetu na mustakabali wa taifa letu. kuna mengi ya msingi vuguvugu lake limetokea hapa na matunda tumeyaona, pia elimu watu wengi tumenufaika kwa kuwa humu sasa tuwe na nafasi ya kuelimishana na sio tutoke na certificate ya matusi na uzandiki.
 
Kuna minerals nyingine hutumika kufanya scientific dating.., hiyo carbon nimeteleza

sawa, sasa rukhsa, tuendelee na porojo!

Kitu kizito kikitoka nje ya Dunia tunategemea msuguano wa anga utakichoma na kitakachofika duniani ni metali mfano wa chuma n.k.

Uki piga dunia na kitu chenye density ya chuma kwa upana wa maili kadhaa nini kitatokea?

Dunia itawaka moto.
Vumbi litajaa dunia nzima.
Mvua ya acid itanyesha muda mrefu.
Dunia itahama mzingo wake wa kawaida kuzunguka jua: wastani wa joto litaongezeka au kupungua.

Mkuu vyote hapo juu vitafanya viumbe hai wote duniani kufa.

Labda uniambie tupo mbinguni ila wenyewe hatujafahamu.
 
Hilo fuvu limeshakuwa proven kwa kutumia carbon dating.., sasa unataka ni-prove nini tena.., do some googling kidogo kama huamini.

Mambo ya carbon dating sipingani nayo ila hapa

Ebo biblia inaelezea tangu siku saba za kuumbwa kwa dunia.., u mean dunia ina miaka 6,000 tu wakati fuvu la olduvai gorge linamiaka zaidi ya million moja.., hivi unaakili wewe..??!

Hii miaka 6000 umepata wapi ndio swali langu ??
 
sawa, sasa rukhsa, tuendelee na porojo!

Kitu kizito kikitoka nje ya Dunia tunategemea msuguano wa anga utakichoma na kitakachofika duniani ni metali mfano wa chuma n.k.

Uki piga dunia na kitu chenye density ya chuma kwa upana wa maili kadhaa nini kitatokea?

Dunia itawaka moto.
Vumbi litajaa dunia nzima.
Mvua ya acid itanyesha muda mrefu.
Dunia itahama mzingo wake wa kawaida kuzunguka jua: wastani wa joto litaongezeka au kupungua.

Mkuu vyote hapo juu vitafanya viumbe hai wote duniani kufa.

Labda uniambie tupo mbinguni ila wenyewe hatujafahamu.
Vyote hivyo ulivotaja vilitokea.., except kuna 1% walisurvive (Sijui how)
Kwa maelezo zaidi: http://en.wikipedia.org/wiki/Cretaceous–Paleogene_extinction_event
 
Hili halina umuhimu sana.
kwa sasa watu wako kwenye isue za matokeo ya serikali za mitaa.
 
Mambo ya carbon dating sipingani nayo ila hapa



Hii miaka 6000 umepata wapi ndio swali langu ??
Mimi mwenyewe nilikuwa nahoji hilo, sio kwamba nilikuwa natoa hiyo statement. legeza ubongo tafadhali na usome mtiririko wa thread kwa makini.
 
1% waliobaki wangekufa kwenye kipindi cha enzi ya barafu kitakachotegemewa kufuata.
Dunia nzima ndani ya barafu ni kama kuwa kwenye jokofu ya hapa mwaloni.

Ila kwenye Biblia wameandika uvivu wako wa kusoma.
No probability can be 100%..!,vile vile kuna life forms hadi leo zinasurvive kwenye extreeme environments kiasi kwamba ni ngumu kuamini viko hai! haya weka quote ya kutoka kwenye bible unitoe uvivu na mi nisome hicho ki-portion.
 
No probability can be 100%..! we mwehu nini...,vile vile kuna life forms hadi leo zinasurvive kwenye extreeme environments kiasi kwamba ni ngumu kuamini viko hai! haya weka quote ya kutoka kwenye bible unitoe uvivu na mi nisome hicho ki-portion.

mkuu utakuwa ume-evolve toka kwenye fungi, kwani hao wanaweza kupita kwenye chekeche la mfuatano wa matukio uliyokubali yangetokea iwapo tukio mama ulilolitaja lingetokea.

Kuna kimeta huko nyanda za juu kusini, hiki unachokisemea ndio kipi mlima kilimanjaro?

Mkongo wa taifa utakuwa umefika Dodoma nawe utakuwa upo Mirembe!
 
Takriban miaka million 55 iliyopita kulitokea tukio la kimaafa linalojulikana Kama KPG impact ambapo jiwe kubwa lenye upana Wa mamia ya maili lilianguka na kuleta madhara sawa na mabomu laki moja ya nuclear ambapo asilimia 99 ya viumbe vote duniani vilitoweka.

Tukio hili limekuwa proven beyond doubt. Je biblia haikuona umuhimu Wa kubainisha hili kinagaubaga?!

Kwa maelezo zaidi Cretaceous–Paleogene extinction event - Wikipedia, the free encyclopedia
Sio kila tukio liliandikwa kwenye biblia vinginevyo tungekuwa na biblia kubwa kama meli kama wangeamua kuandika kila kitu.
 
ebo biblia inaelezea tangu siku saba za kuumbwa kwa dunia.., u mean dunia ina miaka 6,000 tu wakati fuvu la olduvai gorge linamiaka zaidi ya million moja.., hivi unaakili wewe..??!
kwa kifupi:
yote ni sahihi yalitukia.
Kila moja lilitukia kwa wakati wake.
Binadamu wale wa olduvai,mungu aliamua kuwafutilia mbali... Pamoja na mijusi mikubwa ''dinno'' na viumbe wengine wa ajabu.
Ndipo akaipanga dunia upya na kumuweka adam na ubavu wake kama ''mfano'' wa bin adamu wengine sehemu mbalimbali za dunia.
 
How comes unaamini wikipedia?? Miaka 55?? Are u serious?? Matukio yote ya kisayansi yamewekwa kwenye biblia?
 
How comes unaamini wikipedia?? Miaka 55?? Are u serious?? Matukio yote ya kisayansi yamewekwa kwenye biblia?
hii kitu haipo wikipedia as an authority..,bali ipo pale kusambaza knowledge. hii imekuwa recorded kwenye papers na journals za kila aina. legeza ubongo.
 
Back
Top Bottom