Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Hivi ni kwanini ina kuwa hivyo? Jiulize haya yanatutokea kila siku..
LAW OF QUEUE:
Ukibadilisha mstari unapopanga foleni bank, supermarket ama kwenye huduma ya foleni ule uliouacha unakwenda mbio zaidi.
LAW OF TELEPHONE:
Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy) unayoitafuta haipatikani
LAW OF MECHANICAL REPAIR:
Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza kuwasha ili uikune
LAW OF THE ALIBI:
Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli, hata ukisingizia ugonjwa basi utaumwa kweli
BATH THEOREM:
Ukishaanza kuoga tu simu itaanza kuita
LAW OF ENCOUNTERS:
Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae
LAW OF THE RESULT:
Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako imeharibika ukiwasha itafanya kazi
LAW OF BIOMECHANICS:
Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale ambapo huwezi kujikuna, unaokuwa na watu basi utawashwa matakoni ama kwenye korodani ambako ni soo kujikuna.
THEATRE RULE:
Watu wanaokalia viti vizuri ndio wanaochelewa kufika
LAW OF COFFEE:
Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa ama chai yako basi bosi atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa/ chai yako ipoe.
Ama kweli NGOMBE WA MASKINI HAZAI
Je ni kweli jamani?????????
LAW OF QUEUE:
Ukibadilisha mstari unapopanga foleni bank, supermarket ama kwenye huduma ya foleni ule uliouacha unakwenda mbio zaidi.
LAW OF TELEPHONE:
Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy) unayoitafuta haipatikani
LAW OF MECHANICAL REPAIR:
Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza kuwasha ili uikune
LAW OF THE ALIBI:
Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli, hata ukisingizia ugonjwa basi utaumwa kweli
BATH THEOREM:
Ukishaanza kuoga tu simu itaanza kuita
LAW OF ENCOUNTERS:
Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae
LAW OF THE RESULT:
Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako imeharibika ukiwasha itafanya kazi
LAW OF BIOMECHANICS:
Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale ambapo huwezi kujikuna, unaokuwa na watu basi utawashwa matakoni ama kwenye korodani ambako ni soo kujikuna.
THEATRE RULE:
Watu wanaokalia viti vizuri ndio wanaochelewa kufika
LAW OF COFFEE:
Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa ama chai yako basi bosi atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa/ chai yako ipoe.
Ama kweli NGOMBE WA MASKINI HAZAI
Je ni kweli jamani?????????