Hivi ni kwanini Rais akifanya kitu kizuri hatuwasifii '"Washauri Wake"' lakini akifanya ujinga tunawalaumu washauri wake?

mr yamoto

JF-Expert Member
Oct 2, 2016
923
1,393
Hivi Ni Kwanini Rais Akifanya Kitu Kizuri Hatuwasifii 'Washauri Wake' Lakini Akifanya Ujinga Tunawalaumu Washauri Wake? Ni Unafki Au Ni Uoga Wa Kusema Ukweli Rais Anapokosea? BTW Si Rais Alishasema Kwamba Yeye Hashauriki? Bado Unawalaumu Washauri Wa Mtu Asiyeshaurika?


Shirika la ndege ni letu sote. Ndege zimenunuliwa kwa kodi zetu. Hata kama hatukubaliani na baadhi ya mambo yanavyokwenda, hatupaswi kushangilia changamoto au hasara. Ni ya kwetu sote.
Naamini tunapaswa kuendelea kukomaa nao kwa kukosoa na kushauri mkakati mbadala hadi wasikilize

Ziliponunuliwa Tukaambiwa Ni Jitihada Zake, Alipoenda Nazo Chato Likizo Tukaambiwa Kanunua Yeye Tusimpangie Matumizi, Tulipohoji Mikakati Ya Shirika Tukaambiwa Tunatumiwa Na Mabeberu. Leo Zimekamatwa Mnasema Ni Zetu. Kwaiyo Kwenye Raha Ni ZAKE Kwenye Matatizo Ndio ZETU?

Hakuna aliyefurahi ndege ya ATC kuzuiliwa SA, mtu asipotoshe.

Lengo la comments zetu ni kuisihi tena serkali isifanye maamuzi kwa kurupuka.

Tuliasa ziliponunuliwa Bombadia, tukarudia ktk Midude. Tulichojibiwa ni kejeli.

Tutawalipisha, msipofuata taratibu za utawala bora.

Haya Ndio Madhara Ya Kununua Ndege Bila Mikakati, Kama Tungekua Na Mikakati Tungejua ATCL Inadaiwa, Ina Kesi, Ilizuiwa Kuingia Mataifa Kadhaa N.k Hivyo Tungetatua Kwanza Changamoto Hizo Kabla Ya Kulifufua Shirika Lakini Kwasababu Nia Ilikua Nikupata SIFA ZA KISIASA Wacha Kiumane.

Kuna Watanzania, Wana CCM na Wapinzani. Watanzania wanasikitika ndege kushikiliwa na wanatoa ushauri mbadala. Wana CCM wanaitetea serikali hata kama mipango yake haina tija. Wapinzani wanafurahia kufeli kwa serikali na kuendelea kuiombea mabaya.

Tunaoumia ni sisi Watanzania.

mr yamoto.
 
Hivi Ni Kwanini Rais Akifanya Kitu Kizuri Hatuwasifii 'Washauri Wake' Lakini Akifanya Ujinga Tunawalaumu Washauri Wake? Ni Unafki Au Ni Uoga Wa Kusema Ukweli Rais Anapokosea? BTW Si Rais Alishasema Kwamba Yeye Hashauriki? Bado Unawalaumu Washauri Wa Mtu Asiyeshaurika?


Shirika la ndege ni letu sote. Ndege zimenunuliwa kwa kodi zetu. Hata kama hatukubaliani na baadhi ya mambo yanavyokwenda, hatupaswi kushangilia changamoto au hasara. Ni ya kwetu sote.
Naamini tunapaswa kuendelea kukomaa nao kwa kukosoa na kushauri mkakati mbadala hadi wasikilize

Ziliponunuliwa Tukaambiwa Ni Jitihada Zake, Alipoenda Nazo Chato Likizo Tukaambiwa Kanunua Yeye Tusimpangie Matumizi, Tulipohoji Mikakati Ya Shirika Tukaambiwa Tunatumiwa Na Mabeberu. Leo Zimekamatwa Mnasema Ni Zetu. Kwaiyo Kwenye Raha Ni ZAKE Kwenye Matatizo Ndio ZETU?

Hakuna aliyefurahi ndege ya ATC kuzuiliwa SA, mtu asipotoshe.

Lengo la comments zetu ni kuisihi tena serkali isifanye maamuzi kwa kurupuka.

Tuliasa ziliponunuliwa Bombadia, tukarudia ktk Midude. Tulichojibiwa ni kejeli.

Tutawalipisha, msipofuata taratibu za utawala bora.

Haya Ndio Madhara Ya Kununua Ndege Bila Mikakati, Kama Tungekua Na Mikakati Tungejua ATCL Inadaiwa, Ina Kesi, Ilizuiwa Kuingia Mataifa Kadhaa N.k Hivyo Tungetatua Kwanza Changamoto Hizo Kabla Ya Kulifufua Shirika Lakini Kwasababu Nia Ilikua Nikupata SIFA ZA KISIASA Wacha Kiumane.

Kuna Watanzania, Wana CCM na Wapinzani. Watanzania wanasikitika ndege kushikiliwa na wanatoa ushauri mbadala. Wana CCM wanaitetea serikali hata kama mipango yake haina tija. Wapinzani wanafurahia kufeli kwa serikali na kuendelea kuiombea mabaya.

Tunaoumia ni sisi Watanzania.

mr yamoto.
hajawahi fanya lolote zuri lililo ndani ya Katiba na sheria za nchi au za kimataifa. Huwezi kusifia kvunja katiba, sheria and the like be it at national level or international level!!
 
hajawahi fanya lolote zuri lililo ndani ya Katiba na sheria za nchi au za kimataifa. Huwezi kusifia kvunja katiba, sheria and the like be it at national level or international level!!
Tuwaache wao wafanye kwa raha zao ila ukweli utakuja julikana siku moja wananchi wakichoka mioyoni mwao na kufanya maamuzi sahihi kuondoa utawala huu usiozingatia sheria.
 
Back
Top Bottom