Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
Tofauti na CCM, ofisi za Chadema za vitongoji, kata, wilaya na mikoa ni dhoofu mno, kiasi ambacho hazina hata hadhi ya kuitwa ofisi.
Utakuta ofisi nyingi za huko mikoani, ni chumba kimoja kilichochoka, either kinakua karibu na gereji au sokoni.
Utakuta hapo nje ya ofisi, kuna jiwe kuubwa na bendera iliyochanika chanika, au kuchakaa.
Nashindwa kuelewa hawa watani zangu , wanamaanisha nini, maana hadhi ya ofisi haiendani kabisa na status ya chama, kama wengi wetu tunavyofahamu.
Sijui kama kweli wanamalengo ya kua chama cha muda mrefu au wamejikita zaidi katika kuboresha makao makuu.
Lakini la ajabu zaidi, hata makao makuu yenyewe hayaendani na hadhi ya chama chao.
Kuna nini huko chadema.
Utakuta ofisi nyingi za huko mikoani, ni chumba kimoja kilichochoka, either kinakua karibu na gereji au sokoni.
Utakuta hapo nje ya ofisi, kuna jiwe kuubwa na bendera iliyochanika chanika, au kuchakaa.
Nashindwa kuelewa hawa watani zangu , wanamaanisha nini, maana hadhi ya ofisi haiendani kabisa na status ya chama, kama wengi wetu tunavyofahamu.
Sijui kama kweli wanamalengo ya kua chama cha muda mrefu au wamejikita zaidi katika kuboresha makao makuu.
Lakini la ajabu zaidi, hata makao makuu yenyewe hayaendani na hadhi ya chama chao.
Kuna nini huko chadema.