Hivi ni kwanini Mwalimu Nyerere hakutupenda na alitubagua watu weusi?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Binafsi nimeshuhudia ubaguzi wakati wa Utawala wa Mwalimu Nyerere dhidi yetu Watanzania weusi asilia mara nyingi sana mpaka siku Mzee Mwinyi alipoapishwa na kuondoa Ubaguzi mkubwa tuliokuwa tunafanyiwa watu weusi kwenye ardhi yetu wenyewe wakati utawala wa Mzee Nyerere, kwa mfano binafsi nimewahi kuzuiwa mara nyingi tu kuingia iliyokuwa Kilimanjaro Hoteli, New Afrika na kwingineko sababu tu nilikuwa mtu mweusi na Muzungu, Muhindi, Arabu waliingia na siku wa peke yangu mweusi niliyepigwa biti kuingia, pale mlangoni kulikuwa na Mgambo ambaye alikuwa anazuia na kukagua watu weusi tu na alikuja kuondoka siku Mzee mwinyi alipoapishwa.

Leo hata nikiwa na marapa au peku peku naingia Hoteli yoyote ile na hakuna wa kunizuia!

Mzee Mwinyi kwa kweli kwangu mimi ndiye aliyetukomboa kwa kiasi fulani kutoka kwa makucha ya mabeberu, lkn Mwalimu Nyerere kwa maoni yangu hakutupenda watu weusi, nafikiri alikuwa ni agent wa Muzungu, alileta evil communism TZ yetu na kutufanyia human experiment kwetu wakati yeye mwenye hakuishi kama mkomunisti, ...
 
Kwani umekwama wapi mkuu? Kuna tatizo lolote?

Nadhani hukuwa na pesa tu ndio tatizo mkuu. Ungekuwa na dough mbona wala hizo hotel za hapa TZ ungeziona kama kilabu cha gongo tu.

Wewe ungekuwa bata zako ni za mbele kwa mbele huko Copacabana, Maldives, Santorini, Ibiza n.k
 
Naona Leo umemkumbuka the late Mwalimu kimtindo. Lakini kuna mtu alijifananisha na kichuguu mbele ya mlima kilimanjaro.
 
Alitubagia kivipi watu weusi??

Wacha ushamba wako wewe Barbarosa

Inawezekana wakati Mwalimu yupo Madarakani, wewe hata mama yako alikuwa hajaanza kukufikiria kukuzaa

Hiyo post yako ina upotoshaji wa hali ya juu sana!

Mwalimu Nyerere hakuwa mbaguzi kama huyu tuliye naye hivi sasa, ambapo ukiitwa mpinzani hapa Bongo utapata misukosuko utadhani wewe ni mhaini
 
Alitubagia kivipi watu weusi??

Washa ushamba wako wewe Babarosa

Inawezekana wakati Mwalimu yupo Madarakani, wewe hata kufikiriwa kuzaliwa bado


Wewe unamfahamu yule Mgembo aliyekuwa anazuia watu weusi pale Kilimanjaro hotel, Mzee Mwinyi akaja kumtoa na watu weusi tukawa tunaingia kama kawa!
 
Mkuu nahisi uzi wako ni tetesi, au ni ndoto, siamini kama umekaa chini ukaandika wewe mwenyewe. Mimi si mshabiki wa siasa ya ujamaa lakini nadhani Mwalimu Nyerere ni mmoja wa viongozi ambao wamewahi kutenda haki zaidi kuliko viongozi wengine wa Afrika katika zama zao. Kimsingi kuna mapungufu ya hapa na pale na pengine hao wazungu na waasia wanaweza kudhani walibaguliwa zaidi kuliko watu weusi. Kumbuka sehemu kubwa ya mali za watu weupe ilinyang'anywa katika kipindi cha azimio la arusha. Si vibaya kuwa na mawazo huru lakini mawazo yako yatapingwa sana.
 
Mkuu nahisi uzi wako ni tetesi, au ni ndoto, siamini kama umekaa chini ukaandika wewe mwenyewe. Mimi si mshabiki wa siasa ya ujamaa lakini nadhani Mwalimu Nyerere ni mmoja wa viongozi ambao wamewahi kutenda haki zaidi kuliko viongozi wengine wa Afrika katika zama zao. Kimsingi kuna mapungufu ya hapa na pale na pengine hao wazungu na waasia wanaweza kudhani walibaguliwa zaidi kuliko watu weusi. Kumbuka sehemu kubwa ya mali za watu weupe ilinyang'anywa katika kipindi cha azimio la arusha. Si vibaya kuwa na mawazo huru lakini mawazo yako yatapingwa sana.


Mimi nilizuiwa Kilimanjaro Hoteli mara kibao lkn Muzungu, Muhindi, Arabu hawakuguswa, sasa niite nini huo kama siyo ubaguzi?
 
Binafsi nimeshuhudia ubaguzi wakati wa Utawala wa Mwalimu Nyerere dhidi yetu Watanzania weusi asilia mara nyingi sana mpaka siku Mzee Mwinyi alipoapishwa na kuondoa Ubaguzi mkubwa tuliokuwa tunafanyiwa watu weusi kwenye ardhi yetu wenyewe wakati utawala wa Mzee Nyerere, kwa mfano binafsi nimewahi kuzuiwa mara nyingi tu kuingia iliyokuwa Kilimanjaro Hoteli, New Afrika na kwingineko sababu tu nilikuwa mtu mweusi na Muzungu, Muhindi, Arabu waliingia na siku wa peke yangu mweusi niliyepigwa biti kuingia, pale mlangoni kulikuwa na Mgambo ambaye alikuwa anazuia na kukagua watu weusi tu na alikuja kuondoka siku Mzee mwinyi alipoapishwa.

Leo hata nikiwa na marapa au peku peku naingia Hoteli yoyote ile na hakuna wa kunizuia!

Mzee Mwinyi kwa kweli kwangu mimi ndiye aliyetukomboa kwa kiasi fulani kutoka kwa makucha ya mabeberu, lkn Mwalimu Nyerere kwa maoni yangu hakutupenda watu weusi, nafikiri alikuwa ni agent wa Muzungu, alileta evil communism TZ yetu na kutufanyia human experiment kwetu wakati yeye mwenye hakuishi kama mkomunisti, ...

Kuna fikra nyingine vichekesho sana....Hivi Kilimanjaro Hotel utaenda tu bila pesa ya kueleweka?
Watu wengi walianza kuongeza kipato baada ya kuanza free market economy ambayo pia ilikumbatia sana wezi wa Mali ya umma na wabadhilifu.

Hata Leo wanaolia sana maisha yamebana ni wale waliozoea vya kunyonga. Wengi wakajiingiza kuwa makada....
 
Wewe unamfahamu yule Mgembo aliyekuwa anazuia watu weusi pale Kilimanjaro hotel, Mzee Mwinyi akaja kumtoa na watu weusi tukawa tunaingia kama kawa!
Wewe utakuwa na matatizo binafsi na Mwalimu Nyerere

Wakati yeye ndiye alikuwa mstari wa mbele kupinga tabia za kibaguzi za makaburu wa Afrika Kusini, iweje yeye tena umtuhumu kuwa alikuwa mbaguzi??
 
Binafsi nimeshuhudia ubaguzi wakati wa Utawala wa Mwalimu Nyerere dhidi yetu Watanzania weusi asilia mara nyingi sana mpaka siku Mzee Mwinyi alipoapishwa na kuondoa Ubaguzi mkubwa tuliokuwa tunafanyiwa watu weusi kwenye ardhi yetu wenyewe wakati utawala wa Mzee Nyerere, kwa mfano binafsi nimewahi kuzuiwa mara nyingi tu kuingia iliyokuwa Kilimanjaro Hoteli, New Afrika na kwingineko sababu tu nilikuwa mtu mweusi na Muzungu, Muhindi, Arabu waliingia na siku wa peke yangu mweusi niliyepigwa biti kuingia, pale mlangoni kulikuwa na Mgambo ambaye alikuwa anazuia na kukagua watu weusi tu na alikuja kuondoka siku Mzee mwinyi alipoapishwa.

Leo hata nikiwa na marapa au peku peku naingia Hoteli yoyote ile na hakuna wa kunizuia!

Mzee Mwinyi kwa kweli kwangu mimi ndiye aliyetukomboa kwa kiasi fulani kutoka kwa makucha ya mabeberu, lkn Mwalimu Nyerere kwa maoni yangu hakutupenda watu weusi, nafikiri alikuwa ni agent wa Muzungu, alileta evil communism TZ yetu na kutufanyia human experiment kwetu wakati yeye mwenye hakuishi kama mkomunisti, ...
Mjinga we!
Achana na mambo ya kuhadithiwa usiyoyapima.

Mimi nimekaa New Afica Hotel 1982, nikiwa Govt Employee kwa miezi 4.

Ujinga unaohadithia kawahadithie watoto njiwa wenzio.
Na nadiriki kusema unachoongea ni upu.pu mtupu, hukuwahi hata kumuona Mwalimu machoni.
 
Mimi nilizuiwa Kilimanjaro Hoteli mara kibao lkn Muzungu, Muhindi, Arabu hawakuguswa, sasa niite nini huo kama siyo ubaguzi?
Labda kwa kuanzia, aliyekuzuia ni Mwalimu Nyerere? Mbona unampa shutuma ikiwa yeye hakuwa sehemu ya management ya hoteli hiyo? Ninavyojua mimi right of admission kwenye hotel siyo automatic. Si vibaya tukajiuliza pengine haiba yako ilikua haikidhi vigezo vya kuingia kwenye hoteli hiyo kwa wakati ule
 
Kweli watu weusi hatuendi mbinguni kwa hiyo mwl Nyerere alimtuma mgambo azuie watu weusi kuingia kwenye hoteli
 
Watu jamii ya babarosa huwa wanadalili za matatizo ya akili. Niwakupuuzwa na kusaidiwa kunywa dawa.
That's very true

Atakuwa naye ni kichaa kama ambavyo Mwenyekiti wake alivyobainisha hadharani kule Mara, kuwa yeye ni kichaa na anateua vichaa wanzake wa CCM!
 
Mjinga we!
Achana na mambo ya kuhadithiwa usiyoyapima.

Mimi nimekaa New Afica Hotel nikiwa Govt Employee kwa miezi 4.

Ujinga unaohadithia kawahadithie watoto njiwa wenzio.
Na nadiriki kusema unachoongea ni upu.pu mtupu, hukuwahi hata kumuona Mwalimu machoni.


Mimi nilizuiwa mara nyingi sana mlangoni na yule Mgambo lkn alivyoingia Mzee Mwinyi tu akaondoka na sisi tukaanaza kuingia Kili kama wengine tu, Wazungu na Wahindi!
 
Back
Top Bottom