Chapa kazi na wewe uwe tajiri pambafu wewe! huo muda wa kujadili badala ya kufanya kazi utoke wapi! Ebo!
Sawa, brand utaisimamisha ila usipotoa mbinu za kuiendesha na kuilinda inakufa tu. Kulikuwa na Brand ya nguo inaitwa FUBU! Unaona ipo sokoni?
Mengi kaacha franchaise ya Cocacola Kwanza na Bonite! Wahindi washafanya yao tayari kinawaka huko bonite wafanyakazi wanaandamana tu hovyo. Watoto wapo ila ule mchongo ushachukuliwa na wahindi.
Kuna kitu kinaitwa succession plan! Wabongo huwa hatuna hicho, ndio maana baba akifa na biashara imeisha!
baba mambo ya shares! Wahindi wamekata maslahi mishahara na overtime.
Sasa Nyerere alitawala miaka 24 na tangu ang'atuke madarakani sasa hivi ni miaka 35. Inawezekana kweli kuna mambo yalisababishwa na sera ya ujamaa wakati wa Nyerere lakini je baada ya Nyerere kung'atuka madarakani miaka 35 iliyopita mbona bado hatuna hao matajiri wakub wa waafrika? Nachokoza tu!Yote kayataka Nyerere