Hivi ni kwanini matajiri top ten Tanzania ni watu wa asili ya kiarabu na kihindi? Wazungu, wachina, wajapani, waafrika asilia kwanini wasiwe wao?

Gap ya utajiri weusi kuachwa nyuma ilianza baada ya Uhuru, enzi za ukoloni angalau wapo waafrika walikuwa wanakimbizana na weupe, walifilisiwa tulipoadpote ujamaa hapa wengi walipoteza kabisa mitaji yao, wajanja wachache hasa wachaga wao walihamishia Kenya pesa zao ili wasifilisiwe.
 
Gap ya utajiri weusi kuachwa nyuma ilianza baada ya Uhuru,enzi za ukoloni angalau wapo waafrika walikuwa wanakimbizana na weupe,walifilisiwa tulipoadpote ujamaa hapa wengi walipoteza kabisa mitaji yao,wajanja wachache hasa wachaga wao walihamishia Kenya pesa zao ili wasifilisiwe.

Sidhani
 
Utajiri unatengenezwa katka mfumo wa uwekezaji wa muda mrefu mzee katka nyanja mbalimbali angalia mfano bakhresa,manji,mo au hata mengi rostam ni watu ambao utajir wao umejengwa katka misingi ya familia kwa muda mrefu sasa (utajir wa africa ambao umebase sana kwny uwekezaji wa viwanda na kilimo) waafrica wengi tumeshindaa kuendana na hii kasi passion ya kukuza biashara ili iwe ya familia hatuna na wengi tumeloea kwny formal education ambayo haiwaandai kabisa watoto kujiajiri na kuwa wabunifu wa bidhaa zats y tuko avarage wasiosoma wapo kwny biashara with no innovation factor nyngne zinafata hapo

Akhsante
 
Mtoto wa kiafrika akirithi biashara kutoka kwa baba, hufa. Au kwa maana nyingine baba akifa, hufa na biashara yake na kuacha tu ugomvi kwa watoto.
 
Mtoto wa kiafrika akirithi biashara kutoka kwa baba, hufa. Au kwa maana nyingine baba akifa, hufa na biashara yake na kuacha tu ugomvi kwa watoto.
Kufa kwa biashara inategemea na mzee alikuwa anaiendeshaje kutumia misingi ya kibiashara au janja janja?

Matajiri wengi kibongo bongo wanatulia mbinu chafu kusimama kwenye game na mara nyingi biashara ambazo sio clean ni ngumu kuwahusisha wana familia moja kwa moja. Watu watajua tu duka linauza spea za magari toka dubai kumbe kuna gari za kibongo zinapigwa na kuchinjwa night kali na ndio zinafanya biashara ikue kwa haraka.

Kuna kukwepa kodi pia. Pengine mshua anatumia mbinu ya kukwepa kodi ya mapato kwa kuwapitia wakubwa flani wanaomkingia kifua. Mnaona biashara inakuwa kubwa kuliko wenzenu
 
Utajiri unatengenezwa katka mfumo wa uwekezaji wa muda mrefu mzee katka nyanja mbalimbali angalia mfano bakhresa,manji,mo au hata mengi rostam ni watu ambao utajir wao umejengwa katka misingi ya familia kwa muda mrefu sasa (utajir wa africa ambao umebase sana kwny uwekezaji wa viwanda na kilimo) waafrica wengi tumeshindaa kuendana na hii kasi passion ya kukuza biashara ili iwe ya familia hatuna na wengi tumeloea kwny formal education ambayo haiwaandai kabisa watoto kujiajiri na kuwa wabunifu wa bidhaa zats y tuko avarage wasiosoma wapo kwny biashara with no innovation factor nyngne zinafata hapo

Akhsante
Sio kweli matajiri wakubwa nchi ya Kenya ni waafrika na NIgeria pia hao akina Dangote
Sisi Azimio la ARUSHA, kuua vyama vya ushirika na operation za kukamata wale walioitwa wahujumu uchumi miaka ya 1980 ndio chanzo kikubwa cha waafrika kupitwa

Matajiri wengi kabla ya hayo mambo matatu walikuwa waafrika tena wakulima walikuwa wanakuja juu sana mikoa mbali mbali kupitia vyama vya ushirika .Wamiliki wa malori ya mizigo ,mabasi na majumba ya kupangisha mijini walikuwa wakulima wakubwa waafrika wa vijijini kuanzia mikoa ya kilimanjaro,Kagera,mwanza,Mbeya ,Iringa nk kulikuwa na matajiri wengi mno.Walikuwa na makampuni makubwa ya uhakika
 
You have spoken
Utajiri unatengenezwa katka mfumo wa uwekezaji wa muda mrefu mzee katka nyanja mbalimbali angalia mfano bakhresa,manji,mo au hata mengi rostam ni watu ambao utajir wao umejengwa katka misingi ya familia kwa muda mrefu sasa (utajir wa africa ambao umebase sana kwny uwekezaji wa viwanda na kilimo) waafrica wengi tumeshindaa kuendana na hii kasi passion ya kukuza biashara ili iwe ya familia hatuna na wengi tumeloea kwny formal education ambayo haiwaandai kabisa watoto kujiajiri na kuwa wabunifu wa bidhaa zats y tuko avarage wasiosoma wapo kwny biashara with no innovation factor nyngne zinafata hapo

Akhsante
 
Kufa kwa biashara inategemea na mzee alikuwa anaiendeshaje kutumia misingi ya kibiashara au janja janja?

Matajiri wengi kibongo bongo wanatulia mbinu chafu kusimama kwenye game na mara nyingi biashara ambazo sio clean ni ngumu kuwahusisha wana familia moja kwa moja. Watu watajua tu duka linauza spea za magari toka dubai kumbe kuna gari za kibongo zinapigwa na kuchinjwa night kali na ndio zinafanya biashara ikue kwa haraka.

Kuna kukwepa kodi pia. Pengine mshua anatumia mbinu ya kukwepa kodi ya mapato kwa kuwapitia wakubwa flani wanaomkingia kifua. Mnaona biashara inakuwa kubwa kuliko wenzenu
Biashara hairithishwi bali BRAND ndio inarithishwa, weusi wengi wanafanya Biashara za uchuuzi sio Branded biashara za uchuuzi zinaweza kuwa hata na mtaji wa 500M ila kama sio Brand uwezi mrithisha mtu, brand kitu kama Apple, Sumsung, Azam, Azania, DSTV.... local Brand zilizoanzishwa ambazo hata wewe unazishuhudia LAVY PRODUCT ya Flaviana matata, FIne By Falsafa, Wasafi Media.
 
Biashara hairithishwi bali BRAND ndio inarithishwa, weusi wengi wanafanya Biashara za uchuuzi sio Branded biashara za uchuuzi zinaweza kuwa hata na mtaji wa 500M ila kama sio Brand uwezi mrithisha mtu, brand kitu kama Apple, Sumsung, Azam, Azania, DSTV.... local Brand zilizoanzishwa ambazo hata wewe unazishuhudia LAVY PRODUCT ya Flaviana matata, FIne By Falsafa, Wasafi Media.
Sawa, brand utaisimamisha ila usipotoa mbinu za kuiendesha na kuilinda inakufa tu. Kulikuwa na Brand ya nguo inaitwa FUBU! Unaona ipo sokoni?

Mengi kaacha franchaise ya Cocacola Kwanza na Bonite! Wahindi washafanya yao tayari kinawaka huko bonite wafanyakazi wanaandamana tu hovyo. Watoto wapo ila ule mchongo ushachukuliwa na wahindi.

Kuna kitu kinaitwa succession plan! Wabongo huwa hatuna hicho, ndio maana baba akifa na biashara imeisha!
 
Kufa kwa biashara inategemea na mzee alikuwa anaiendeshaje kutumia misingi ya kibiashara au janja janja?

Matajiri wengi kibongo bongo wanatulia mbinu chafu kusimama kwenye game na mara nyingi biashara ambazo sio clean ni ngumu kuwahusisha wana familia moja kwa moja. Watu watajua tu duka linauza spea za magari toka dubai kumbe kuna gari za kibongo zinapigwa na kuchinjwa night kali na ndio zinafanya biashara ikue kwa haraka.

Kuna kukwepa kodi pia. Pengine mshua anatumia mbinu ya kukwepa kodi ya mapato kwa kuwapitia wakubwa flani wanaomkingia kifua. Mnaona biashara inakuwa kubwa kuliko wenzenu
Kimsingi huu ni ukweli wa dhati....
 
Utajiri unatengenezwa katka mfumo wa uwekezaji wa muda mrefu mzee katka nyanja mbalimbali angalia mfano bakhresa,manji,mo au hata mengi rostam ni watu ambao utajir wao umejengwa katka misingi ya familia kwa muda mrefu sasa (utajir wa africa ambao umebase sana kwny uwekezaji wa viwanda na kilimo) waafrica wengi tumeshindaa kuendana na hii kasi passion ya kukuza biashara ili iwe ya familia hatuna na wengi tumeloea kwny formal education ambayo haiwaandai kabisa watoto kujiajiri na kuwa wabunifu wa bidhaa zats y tuko avarage wasiosoma wapo kwny biashara with no innovation factor nyngne zinafata hapo

Akhsante
Manji alikuwa mwizi nadhani unakumbuka sakata la magodowns. Rostam Azizi pia unajua alivyokuwa anacheza nafasi zote katika first 11 ya wezi wote hapa. Hapo tatizo ni kwamba waunganishaji wote wa mipango hiyo (walioko serkalini) huwa hawako tayari kumpasia mweusi mwenzao kwasababu wanazozijua wao
 
Back
Top Bottom