Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,293
- 8,204
- Thread starter
- #21
πππππππhuyo jamaa alikuwa ni binadamu waajabu kwakweli.Leo ndiyo nimejua jibu la swali lako
πππππππhuyo jamaa alikuwa ni binadamu waajabu kwakweli.Leo ndiyo nimejua jibu la swali lako
iyo avatar yako hauna fulu nione nitoe unabiiLeo ndiyo nimejua jibu la swali lako
Kweli inabidi hata wewe ujitahidi kuimba nyimbo za hisia sisi tupo kukusapoti.NYIMBO za Michael Jackson zilikuwa za kusisimua Sana na ndio maana watu walikuwa wanazimia.
Huwa najiuliza hili swali mara kwa mara wakuu, leo lazima mnipe majibu mtake msitake.
Hivi ni kwanini kwenye show za Michael Jackson watu walikua wanazimia.
Furaha ya kumuona idle wao King of Pop akiperform live ilizidi viwango wengi walilia machozi ya furaha na wengine kuzimia kwa furaha iliyozidi viwango. Too much of anything is HARMFUL.
Idle -> idol
π Auto completion zinachangamoto sanaHizi smart phone you have to pay extra attention with spelling. Nilishawahi kuandika tusi kubwa kwa bidada tunayeheshimiana sana ilibidi niombe samahani, akanielewa.,
π Auto completion zinachangamoto sana
Na msimu huu watakufa na kufa.Hata mechi za Simba na Yanga tu wayu wanazimia.