mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Wakuu nashindwa kujua shida ni nini.Maana Mh Rais alisema maendeleo hayana vyama sasa kulikoni kila jambo la maendeleo ambalo Serikali inafanya kuna baadhi ya watu wanakasirika na kuombea kabisa hayo mambo yasifanikiwe.
Inajengwa reli ya kisasa ya SGR kuna kuna watu wanaomba mradi usiishe mapema,mradi wa kisasa wa umeme na mengine mengi tu.
Hivi juzi juzi pia serikali imetoa Ajira 1000 za madaktari na pia wameahidi kuajiri walimu lakini ukifatitilia kiundani kuna watu kama hawapendi au wanaumia kuona haya mambo mazuri yakifanyika.Shida ni nini Wakuu?
Ahadi ni Vitendo!
Awamu ya tano,Hapa kazi tu!
JPM kazini!
Nawasilisha!!!
Inajengwa reli ya kisasa ya SGR kuna kuna watu wanaomba mradi usiishe mapema,mradi wa kisasa wa umeme na mengine mengi tu.
Hivi juzi juzi pia serikali imetoa Ajira 1000 za madaktari na pia wameahidi kuajiri walimu lakini ukifatitilia kiundani kuna watu kama hawapendi au wanaumia kuona haya mambo mazuri yakifanyika.Shida ni nini Wakuu?
Ahadi ni Vitendo!
Awamu ya tano,Hapa kazi tu!
JPM kazini!
Nawasilisha!!!