lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,542
- 1,973
Hutakiwi kuumia , Kama alivyoshauri baba mzazi wa HAJI MANARA.Ni kweli lakini hawa wenzetu humu mitandaoni wamekuwa watu wa kupiga sana kelele kuponda kila kitu yani me naumia sana ki ukweli.
Dawa ya mwanaye kumzuia asiongee nj KUMFUNGA.
Hivyo dawa ya kuwafanya wapinzani wakose cha kuongea ni kuweka Maendeleo na utawala Bora.
Kumbuka hata ustawi wa upinzani ni jukumu la chama tawala.