Ndugu wanajamii kwanza tupeane pole kwa tatizo la upungufu wa chakula linalolikabiri taifa letu. Nijambo la kushukuru Mungu kwa kuwa hata JK analitambua na kalipa uzito wa kuliweka kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi wa pili.
Ndugu wanajf suala likiongelewa na Rais si dogo, jua kuna maelfu ya watu wanahangaika na pengine wanapoteza maisha yao kwa kukosa chakula. Imefikia wakati na jiuliza bila kupata jibu; Hivi kwanini kila baada ya uchaguzi katika awamu hii ya JK taifa lazima likumbwe na baa la njaa? baada ya uchaguzi mkuu 2005 mwaka uliofuata yaani 2006 taifa likakumbwa na njaa kubwa, uchaguzi mkuu 2010, mwaka huu yaani 2011 taifa tena limekumbwa na tatizo lilelile.
Ndugu wanajf, nini hasa kinaashiriwa na tukio hili linalotokea katika msimu unaotanguliwa na uchaguzi mkuu tu katika awamu zote mbili za JK?
Ndugu wanajf suala likiongelewa na Rais si dogo, jua kuna maelfu ya watu wanahangaika na pengine wanapoteza maisha yao kwa kukosa chakula. Imefikia wakati na jiuliza bila kupata jibu; Hivi kwanini kila baada ya uchaguzi katika awamu hii ya JK taifa lazima likumbwe na baa la njaa? baada ya uchaguzi mkuu 2005 mwaka uliofuata yaani 2006 taifa likakumbwa na njaa kubwa, uchaguzi mkuu 2010, mwaka huu yaani 2011 taifa tena limekumbwa na tatizo lilelile.
Ndugu wanajf, nini hasa kinaashiriwa na tukio hili linalotokea katika msimu unaotanguliwa na uchaguzi mkuu tu katika awamu zote mbili za JK?