wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Wakuu pole na harakati zenu!
Kwa kawaida hua nasikia labda waziri wa maliasili! Kuna na waziri wake kivuli hivyo hivyo na waziri wa viwanda sijui biashara naye kunakuwa na waziri kivuli!!sasa wakuu hivi mbona ngazi ya rais na waziri mkuu mbona hakuna waziri kivuli au rais kivuli??? Naomba kueleweshwa wakuu!!
Kwa kawaida hua nasikia labda waziri wa maliasili! Kuna na waziri wake kivuli hivyo hivyo na waziri wa viwanda sijui biashara naye kunakuwa na waziri kivuli!!sasa wakuu hivi mbona ngazi ya rais na waziri mkuu mbona hakuna waziri kivuli au rais kivuli??? Naomba kueleweshwa wakuu!!