CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 285
Lukosi,
Unataka Tamko gani zaidi ya wawakilishi wetu waliokuwa kwenye eneo la tukio na kuwaomba wananchi wachangie Damu. Au unatafuta tu maneno. Wananchi Jana hawakuchangia damu, uliwaomba wewe, au ile Damu iliteremka kutoka angani? Tatizo ni nMna yako/yenu ya kufikiri na kuona mambo.
Lukosi ni Mkosi, hana fikra...