Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Aitwe kwan kwenye Audio musiba alisikika?Mkuu jibu swali mtoa uzi ameuliza kwanini Mwanaharakati Huru Mh.Musiba hajaitwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni uzwazwa
Aitwe kwan kwenye Audio musiba alisikika?Mkuu jibu swali mtoa uzi ameuliza kwanini Mwanaharakati Huru Mh.Musiba hajaitwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkiitwa muwe makini@malima@arsenicKwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja
Nimesikia kwenye kikao cha baraza kuu la CCM kilichomalizika siku chache zilizopita, huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na Yusufu Makamba kuwahoji kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuvuja kwa sauti zao kwenye audio clips
Nina maswali machache ninataka kuwauliza hao wajumbe wa NEC walioazimia azimio hilo
1. Ni kwanini muwaite akina Membe na kutaka kuwahoji wakati mmeacha kumuita Musiba, ambaye ndiye "root cause" ya haya yote yanayotokea ikiwa mnatafuta haki itendeke kwa kusikiliza pande zote za mgogoro huo?
2. Hivi "privacy policy" haipo tena nchini Tanzania, ambapo mtu analindwa kisheria katika maongezi yake ya faragha??
3. Mnawezaje kuwa nyinyi baraza la CCM kuwa ndiyo waamuzi wa kesi hiyo, wakati mnajua kabisa kuwa mnakiuka "principle" kuu ya "natural justice" inayosema "You can't be a judge in your own case"
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na baraza la CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??
Hili Taifa kama linafanya maamuzi yake kwa ubaguzi wa waziwazi kabisa, katika kuwashughulikia wahusika wake linalowatuhumu, kama huu tunaouona sasa tujue kama Taifa tupo hatarini kusambaratika
Naomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu
Swali la ovyoMimi siko CCM wala Chadema
Kuuliza kwangu ni kwanini NEC ya CCM inawaita akina Membe na kunwacha Musiba, ni kwa kuwa nataka haki itendeke na naamini kuwa huyo Musiba ndiyo "root cause" wa haya yote yanayotokea
Kitendo cha CCM kufanya ubaguzi na kuwaonea baadhi ya watu, kitasababisha Taifa hil lisambaratike. OVA
Mbona mnaogopa kumwita musiba yule malaika mweusiCCM haiogopi watu kama chadema ,huku ukizingua unasurubiwa kama yeyete
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mkao huo ni wazi huyu amekusudia kujibishana na sio kujadiliana.Kesho njoo urudie tena mashudu yako, huyo ni nani? View attachment 1292892
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mkao huo ni wazi huyu amekusudia kujibishana na sio kujadiliana.
Kwenye kikao/mikutano nikiona watu km hawa najiondokea zangu nkafanye shughuli zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mmewaita akina Membe kama vigogo wa CCM au kutokana na tuhuma zao wanazikabiliana nazo?Kwani Musiba amekuwa kigogo wa CCM?na je aitwe na CCM kwa kosa gani na akiwa kama nani?