Wana JF
Nimekuwa nikijiuliza sana kwa nini CCM wako tayari kufanya chochote kubaki madarakani kwa gharama yeyote hata kwa kuiba kura pamoja na kutokubalika na wananchi wanaopiga kura. Hivi ni tamaa tuu ya madaraka au wanaogopa mambo mengi ya kitisha na udhalimu waliofanyautagundilika watakapo kuwa nje ya utawala?
Nimekuwa nikijiuliza sana kwa nini CCM wako tayari kufanya chochote kubaki madarakani kwa gharama yeyote hata kwa kuiba kura pamoja na kutokubalika na wananchi wanaopiga kura. Hivi ni tamaa tuu ya madaraka au wanaogopa mambo mengi ya kitisha na udhalimu waliofanyautagundilika watakapo kuwa nje ya utawala?