Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
habari za x-mass wanajukwaa? nilikuwa naomba msaada kidogo hapa,,kama kuna mtu kafika mtaa wa msimbazi karibu na round about kariakooo,,dar,atakuwa ameona simu za samsung,nokia,htc, n.k mfano hizo za samsung zinauzwa 85,000 na nyingine kubwa kama tablets kilo 1.1,,,,,nazimeandikwa zina uwezo wa wifi,android,,dual sim cards,,je nauliza hizi nni simu za kampuni la samsung au wazee wa ku-copy na ku-paste na ku-modify ,,,,ambaye ana uelewa atwambie au ambaye kanunua atujuze ili nasi tukazivamie