Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Tangu ilipokuwa inaitwa FAT chini ya mzee Ndolanga na bwana Rage mpaka leo hii kuwa TFF ya Jamal Malinzi, mimi kama mdau wa michezo hususani mchezo wa mpira wa miguu sijaona juhudi zozote za viongozi wa juu wa taasisi hii muhimu kuwezesha umiliki wa vyombo vyake vya habari.
1. Kwanza hizo media zingekuwa ni vitega uchumi vizuri na vya uhakika kwa chama na kuwapunguzia adha ya kuombaomba fedha.
2.matukio makubwa ya kimichezo ya ndani na nje ya nchi kama michuano ya UEFA au ligi kuu za ulaya na hapa nyumbani mngekuwa mna- dominate na taasisi ingepiga hela nyingi sana aisee.
Lakini mpaka sasa hakuna kitu!
Tatizo ni nini hasa jamani?
Naombeni mawazo yenu wadau wenzangu...!
==== Majibu ya Jamal Malinzi====
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
1. Kwanza hizo media zingekuwa ni vitega uchumi vizuri na vya uhakika kwa chama na kuwapunguzia adha ya kuombaomba fedha.
2.matukio makubwa ya kimichezo ya ndani na nje ya nchi kama michuano ya UEFA au ligi kuu za ulaya na hapa nyumbani mngekuwa mna- dominate na taasisi ingepiga hela nyingi sana aisee.
Lakini mpaka sasa hakuna kitu!
Tatizo ni nini hasa jamani?
Naombeni mawazo yenu wadau wenzangu...!
==== Majibu ya Jamal Malinzi====
Si vyema Football Federation kumiliki vituo vya habari.Duniani kote vyama vya mpira vinamiliki habari (content) na vituo vya redio/TV vinanunua hii content.Content ni kama mpira wa ligi,mechi za kimataifa,kombe la FA n.k.Haya ni mahusiano ya kibiashara ambayo yana guarantee a win win situation.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Last edited by a moderator: