Kaka yangu LEMA ebu soma alama za nyakati kuelekea 2020.....
Nakuambia ukweli kabsa DALILI YA MVUA NI MAWINGU....hilo jimbo utalisikia kwenye redio baada ya 2020 maana hakuna jambo linawashangaza walio wengi kuona MADIWANI TENA watu wako wa karibu wakijiudhuru UDIWANI na kujiunga CCM na hakuna hata negative reaction kutoka kwa wananchi walio wachagua hiyo 2015 na kibaya zaidi bado wanaendelea kuchaguliwa hata wakiwa upande wa CCM....sasa vipi kuhusu wewe????mzee soma alama za nyakati wananchi wa ARUSHA wanajaribu kukufikishia ujumbe kwa njia hii na wewe hata kushtuka umeshindwa kabsa.....
Nakuambia ukweli kabsa DALILI YA MVUA NI MAWINGU....hilo jimbo utalisikia kwenye redio baada ya 2020 maana hakuna jambo linawashangaza walio wengi kuona MADIWANI TENA watu wako wa karibu wakijiudhuru UDIWANI na kujiunga CCM na hakuna hata negative reaction kutoka kwa wananchi walio wachagua hiyo 2015 na kibaya zaidi bado wanaendelea kuchaguliwa hata wakiwa upande wa CCM....sasa vipi kuhusu wewe????mzee soma alama za nyakati wananchi wa ARUSHA wanajaribu kukufikishia ujumbe kwa njia hii na wewe hata kushtuka umeshindwa kabsa.....