Hivi ni kawaida watu kukutizama sana kila wanapopata nafasi

Kijana ukiwa unavaa vizuri, unique codes, umenyoa vizuri, unatembea gently, lazima watu wakuangalie sana hasa wanawake.

Vijana vaeni muda wenu huu
 
Mkuu oa wadada & wamama wa sasa hivi wanasaka watu wa kuzini nao kinguvu
Haya mawazo huwa nayawaza sana sana, yani kwamba vile mmekua majirani tu kuna kulazimishana mahausiano fulani ambayo mimi siko tiyari. Yan mtu hana muda na maisha yake, kila wakati anataka kujua umekaa na nani, unaongea na nani. Sasa mimi nachukia nikigundua hii hali.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada japo utabezwa sana humu lakini ukweli lazima uwepo.mambo kama hayo yapo mara nyingine unakuta hata ukienda sehemu ambayo hamna anayekujua ila nilichokuja kugundua hali hii inatokea mtu anapokuwa ana mvuto
Huo mvuto umekuja ghafla juzi tu,kama alikuwa nao tangu zamani hajazoea tu hiyo hali?
 
Bro hiyo kitu haupo nayo wee tuu..
Mi huwa watu wananishangaa hadi naishtukia.
Kuna muda mwingine mtu anakuangalia hata ukiwa unakula hadi unahisi kitu kibaya kitakutokea!!hata kuumwa tumbo.

Sipendi hiyo tabia.
Waswahili tuna hizo tabia sana.
Unakuta mmepakua chakula sehemu lakini mtu anaangalia kiasi ulichopakua wee!kama anakuzonga fulani hivi.

Wazungu wako na TABLE MANNERS sana huwa hana muda wa kutizama mtu anachokula.

Waswahili hatuna TABLE MANNER kabisaaaaa
Sasa wewe hata ukiwa na hao wazungu pakua kama vile ulivyopakua majuzi ndiyo uajua mind your business ilivyo ngumu
 
Mbona hii kawaida tu,inatokea pale unapooneka tofauti na wenzako.namaanisha unaweza ukawa umevaa vizuri,mchafu,mrefu au mfupi zaidi na kadhalika
Hakuna chochote kabisa ondoa mawazo yoyote uliyona hii ni kawaida kwa kila kiumbe chenye ufahamu.
Jaribu kuchunguza uone
 
Kuna mahali niko na watu wengine kila mtu ana shughuli yake, Lakini kuna jambo nimeligundua jirani zangu wanakaa muda wote kunitizama mpaka wananinyima amani, ukiwaangalia ni watu na waume zao sijui wanakosa nini kwenye kwenye nafsi zao.

Kwa upande wangu mimi siyo muongeaji sana, muda mwingi niko na shughuli zangu, sasa nikija kugeuka nakutana na macho kama yote, hali hii mimi siipendi, kwanini lakini?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kwani umevaa vile visuruali vinavyobana vilivyochanwachanwa kwenye magoti
 
Chakarika Mkuu wanataka uwavue picchu.

Kuna mahali niko na watu wengine kila mtu ana shughuli yake, Lakini kuna jambo nimeligundua jirani zangu wanakaa muda wote kunitizama mpaka wananinyima amani, ukiwaangalia ni watu na waume zao sijui wanakosa nini kwenye kwenye nafsi zao.

Kwa upande wangu mimi siyo muongeaji sana, muda mwingi niko na shughuli zangu, sasa nikija kugeuka nakutana na macho kama yote, hali hii mimi siipendi, kwanini lakini?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kuna mahali niko na watu wengine kila mtu ana shughuli yake, Lakini kuna jambo nimeligundua jirani zangu wanakaa muda wote kunitizama mpaka wananinyima amani, ukiwaangalia ni watu na waume zao sijui wanakosa nini kwenye kwenye nafsi zao.

Kwa upande wangu mimi siyo muongeaji sana, muda mwingi niko na shughuli zangu, sasa nikija kugeuka nakutana na macho kama yote, hali hii mimi siipendi, kwanini lakini?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Piga rungu wote hao
 
Back
Top Bottom