Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Kuna mahali niko na watu wengine kila mtu ana shughuli yake, Lakini kuna jambo nimeligundua jirani zangu wanakaa muda wote kunitizama mpaka wananinyima amani, ukiwaangalia ni watu na waume zao sijui wanakosa nini kwenye kwenye nafsi zao.
Kwa upande wangu mimi siyo muongeaji sana, muda mwingi niko na shughuli zangu, sasa nikija kugeuka nakutana na macho kama yote, hali hii mimi siipendi, kwanini lakini?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kwa upande wangu mimi siyo muongeaji sana, muda mwingi niko na shughuli zangu, sasa nikija kugeuka nakutana na macho kama yote, hali hii mimi siipendi, kwanini lakini?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app