Hivi ni kaa nini baadhi ya vituo vya police hawawashagi taa hata kama kuna umeme

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,796
Nimekua najiuliza sana haya maswali nashindwa kujua au ni mojawapo ya sheria zao!yaani utakuta kituo kina umeme lakini ukipita usiku unakuta hata taa haziwaki!hivi ni kwa nini hata baadhi ya sehemu nyingine hata kama waya za tanesvo zimepita juu ya mabati ya kitou hawaweki umeme hivi kwa nini!!
 
Nimekua najiuliza sana haya maswali nashindwa kujua au ni mojawapo ya sheria zao!yaani utakuta kituo kina umeme lakini ukipita usiku unakuta hata taa haziwaki!hivi ni kwa nini hata baadhi ya sehemu nyingine hata kama waya za tanesvo zimepita juu ya mabati ya kitou hawaweki umeme hivi kwa nini!!
Woga
 
Nimekua najiuliza sana haya maswali nashindwa kujua au ni mojawapo ya sheria zao!yaani utakuta kituo kina umeme lakini ukipita usiku unakuta hata taa haziwaki!hivi ni kwa nini hata baadhi ya sehemu nyingine hata kama waya za tanesvo zimepita juu ya mabati ya kitou hawaweki umeme hivi kwa nini!!
Ungekuwa ni waya tanesco ingekukuwa uzembe wao.. wewe unazungumzia waya wa tanesvo hiyo ni kwa minajili ya king'amuzi kwenye kitou.
 
Back
Top Bottom