Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,928
- 6,467
Ndugu wana jamvi Nawasalimu kwa mujibu wa imani zetu.
Katika pitapita zangu mitandaoni na kwenye vyombo vya habari nimekutana na mambo yaajabu sana yanayofanywa na wabunge pomoja na baadhi ya viongozi wa Chama chetuTawala.
Mambo haya ambayo yanaenda kinyume kabisa na Katiba ya nchi yetu sio kwamba yanasikitisha tu bali yanadhalilisha hata viongozi wetu wakuu.
Hivi ni nani hajui kuwa CAG anaafanya kazi kwa mujibu wa katiba halali ya nchi na bunge halitakiwi kumuingilia au kutojaribu hata kuhoji utendaji wake? Tangu lini Bunge linalotakiwa kuisimamia serikali likang'oa macho yake yanayolipa uwezo wa kuona baadhi ya matumizi yasiyofaa ya fedha inazopitisha?
Nani huko chamani asiyejua kuwa uchaguzi uko kwa mujibu wa Sheria na hata kama hakuna mgombea mwingine kinawekwa kivuli?
Nani huko chamani asiyejua kuwa kipindi cha Urais kwa Tanzania ni miaka 5 na mwisho ni vipindi viwili vya miaka tajwa?
Jamani naomba sana kama wabunge hawajui wajibu na majikumu yao waje huku mtaani pamoja na spika wao tuwaambie wanatakiwa kufanya nini.
Inaumiza sana kusema kuwa unataka kufanya kazi na kuongea na rais halali wa Tanzania ila himtambui John Pombe Joseph Magufuli
Shame on us!!!!!!
Katika pitapita zangu mitandaoni na kwenye vyombo vya habari nimekutana na mambo yaajabu sana yanayofanywa na wabunge pomoja na baadhi ya viongozi wa Chama chetuTawala.
Mambo haya ambayo yanaenda kinyume kabisa na Katiba ya nchi yetu sio kwamba yanasikitisha tu bali yanadhalilisha hata viongozi wetu wakuu.
Hivi ni nani hajui kuwa CAG anaafanya kazi kwa mujibu wa katiba halali ya nchi na bunge halitakiwi kumuingilia au kutojaribu hata kuhoji utendaji wake? Tangu lini Bunge linalotakiwa kuisimamia serikali likang'oa macho yake yanayolipa uwezo wa kuona baadhi ya matumizi yasiyofaa ya fedha inazopitisha?
Nani huko chamani asiyejua kuwa uchaguzi uko kwa mujibu wa Sheria na hata kama hakuna mgombea mwingine kinawekwa kivuli?
Nani huko chamani asiyejua kuwa kipindi cha Urais kwa Tanzania ni miaka 5 na mwisho ni vipindi viwili vya miaka tajwa?
Jamani naomba sana kama wabunge hawajui wajibu na majikumu yao waje huku mtaani pamoja na spika wao tuwaambie wanatakiwa kufanya nini.
Inaumiza sana kusema kuwa unataka kufanya kazi na kuongea na rais halali wa Tanzania ila himtambui John Pombe Joseph Magufuli
Shame on us!!!!!!