BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,642
- 17,147
We bibie niliekufata pm ukaniita roboti nilivozidi kukuchombeza ukanambia japo hinijui ntakuwa na sura kama mbwa kabeba kiporo cha ugali na nilivotaka kukutumia picha kuthibitisha kuwa unizaniavyo sivyo ukanifungia pm naomba kupitia uzi huu nikwambie kuwa kwa kweli ulinikomesha. Umenifanya niziogope pm za warembo wa humu. Mpaka leo najiuliza hivi we ni msichana gani una matusi ya vijiweni namna hiyo, nyockle zako