KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,513
Usijali mrembo,nitakuangalia kwa raha na tabu,usikonde au vipi?,najua dawa yenu warembo,hasa pale ngozi au vipodozi vinapogoma,au hali ya chango la tumbo au mahaba yakigoma kwa umpendae,au kama kuna demu mwenzio unamuhusudu na unataka kumpiku,au kama kuna mtu anakufanya ukose raha baby,awe mwanamke au mwanaume,wewe njoo unishitakie,mimi nitamaliza shida hiyo in minutes au vipi?,sitanii,coz mimi nina MYSTIC POWER, pia nina magnifique power of resolution at a certain time,so kama kuna tatizo la outer power zilizojificha,basi njoo kwangu nitalitatua,tena nitaita zile spiritual xenon powers zenye kumulika into hidden charms na divines zoote ambazo wabaya au mamajusi huzitumia kudhuru watu toka enzi za Jesus of Nazareth,naahidi nitajivunda na kujivinjia ndani ya nguvu hizo,nitazikatili nguvu za giza mpaka nimkamate mwana Karneza anaezipa nguvu hizo nguvu(positive) energy,nitahakakisha Karneza anasalimu AMRI na kuzizima hizo nguvu za giza ili wewe Joannah uwe huru,.,.,.AMEEEEEN.Una maneno asee