tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,818
- 18,241
Wrw
Haya ndiyo mambo yanayosababisha wanafunzi wasifikie ndoto zao kufika juu.Maana ujuzi walioupata hautaendelezwa.Wakiupeleka huu ujuzi kwenye ualimu wangine watasema walimu ni watu waliofeli.Ni vibaya kumpa mtu maarifa halafu asiyatumie kufikia malengo.
Wewe unataka watu wafikie malengo yao kikanjanja?Haya ndiyo mambo yanayosababisha wanafunzi wasifikie ndoto zao kufika juu.Maana ujuzi walioupata hautaendelezwa.Wakiupeleka huu ujuzi kwenye ualimu wangine watasema walimu ni watu waliofeli.Ni vibaya kumpa mtu maarifa halafu asiyatumie kufikia malengo.