Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,250
Hakuna benki kama hiyo, rate za benki ni kwa mwaka. Hata hivyo 14% ni nyingi banki gani inakupa hiyo rate?Kuna benki inatoa riba ya asilimia 14 kwa mwezi kwa hiyo mil 100 unapata riba ya mil 14 kila mwez na mil 100 inakua iko