Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,673
- 28,975
Mzuka wana JF!
Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?
Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.
Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.
Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?
Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.
Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.