Hivi neno "Uchwara" ni Lissu alilianzisha?

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,673
28,975
Mzuka wana JF!

Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?

Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.

Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.
 
Mzuka wana JF!

Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?

Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.

Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.
Mbona ni neno la miaka mingi sana
Wewe utakuwa umezaliwa 2000
 
Lissu sio Muanzilishi wa neno "Uchwara".

Lissu ni Mchagizaji wa matumizi ya neno "Uchwara"
 
Mzuka wana JF!

Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?

Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.

Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.

Hili neno nalijua toka nikiwa na miaka 5, na sasa nina miaka 50.
 
Mzuka wana JF!

Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?

Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.

Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.
Hili neno uchwala lilikuwepo kwa waswahili lina maana ya ubabaishaji neno hili kwa mala ya kwanza kwenye siasa alilisema rositom azizi mbunge wa igunga mkoani tabora alipo amua kuachana na ubunge akasema kachoshwa na siasa uchwala za ccm
 
Mzuka wana JF!

Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?

Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.

Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.
Inaelekea wewe ni mtoto wa juzi. Hili neno uchwara ni la muda mrefu wakati wa Nyerere na siasa za ujamaa.
Kulikuwa na mabepari......watu wenye hela sana sana especially USA and Western countries, hao walikuwa mabepari.
2. Matajiri wa nchi zilizobaki hasa Tanzania kulikuwa ma watu wenye vijipesa /vijisenti lakini huwezi kuwaita mabepari per se, bali MABEPARI UCHWARA
 
Back
Top Bottom