Hivi Neno "Kushoboka" Ni Neno La Lugha Ya Kiswahili?

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Apr 13, 2017
44,489
188,636
Habari.

Nikiwa nafatilia vijana hapa waandishi wa habari ni jambo zuri kuwarithisha nyanja hii ya habari na kupata watangazaji bora huko mbele.

Kipindi kupitia UTV cha Morning Trumpet naona mtangazaji amesema neno "Kushoboka" .

Nilikuwa nauliza wataalamu wa lugha yetu ya Kiswahili neno hilo ni la lugha ya Kiswahili na lina maana gani?

Nawasilisha.
 
Habari.

Nikiwa nafatilia vijana hapa waandishi wa habari ni jambo zuri kuwarithisha nyanja hii ya habari na kupata watangazaji bora huko mbele.

Kipindi kupitia UTV cha Morning Trumpet naona mtangazaji amesema neno "Kushoboka" .

Nilikuwa nauliza wataalamu wa lugha yetu ya Kiswahili neno hilo ni la lugha ya Kiswahili na lina maana gani?

Nawasilisha.
Sidhani kama ni neno sahihi la kiswahili.
Ni maneno yanayozuka, maneno ya msimu.

Watangazaji wa hiko kipindi ni vijana sana na uwezo wao mdogo sana kwenye mambo mengi.

Wanapojaribu kujadili jambo au kuuliza maswali kwa wageni waalikwa kwenye kipindi ndio utachoka.

UTV wangekua wana waandaa na kuwapa maarifa kwa watakachoenda kuuliza au kujadili.

Wanatia uvivu kuendelea kuangalia hicho kipindi.

Hivyo kutumia neno kama hilo kwao sio tatizo. Umakini zero.
 
1. enamored --- shoboka
tamanishwa sana, pendezwa sana, penda sana, vutiwa sana, furahishwa sana, taka

2. shobo, shoboka -- tasliti, kuwa na tasliti

3. shoboka --- konda sana

4. kurupuka, kuwa na wahaka, pupa, chachawa

5. shoboka --- taabika, shidika, dhikika, tatizika

6. shoboka, shobokea --- jidukiza kwa mtu ili kumshawishi, bemba, ^kujipendesha^ au kujinatisha; kujitakisha kwa mtu; kutafuta kupendwa kwa nguvu

7. shoboka --- project (as in throwing a projectile)

8. shoboka --- jionesha kwa maringo kuwa bora kuliko wengine (show off)

9. shoboka --- when something is turned inside out (tumbua)

10. shobokea --- nahisisha mtu (empathize)
 
Sidhani kama ni neno sahihi la kiswahili.
Ni maneno yanayozuka, maneno ya msimu.

Watangazaji wa hiko kipindi ni vijana sana na uwezo wao mdogo sana kwenye mambo mengi.

Wanapojaribu kujadili jambo au kuuliza maswali kwa wageni waalikwa kwenye kipindi ndio utachoka.

UTV wangekua wana waandaa na kuwapa maarifa kwa watakachoenda kuuliza au kujadili.

Wanatia uvivu kuendelea kuangalia hicho kipindi.

Hivyo kutumia neno kama hilo kwao sio tatizo. Umakini zero.
Wewe utakuwa mzee tena above 50+ na unaamini watangazaji wazee tu...lakini niamini mimi hakuna habari sasaivi inayozidi ya UTV
 
Wewe utakuwa mzee tena above 50+ na unaamini watangazaji wazee tu...lakini niamini mimi hakuna habari sasaivi inayozidi ya UTV
Ni kweli mimi Mzee ila sio Above 50+

Mleta mada amezungumzia kipindi cha Morning Trumpet na sio taarifa ya Habari ya UTV.

Nilichokosoa ni hao watangazaji wa Morning Trumpet. Jaribu kukifatilia utaona ninachosema.

Nakuamini sana kwenye kipindi cha Habari cha UTV kama ulivyosema.

Wapo vizuri sana, nami hupendelea kuangalia zaidi huko kuliko kituo kingine cha TV.
 
Shukrani mkuu.

1. enamored --- shoboka
tamanishwa sana, pendezwa sana, penda sana, vutiwa sana, furahishwa sana, taka

2. shobo, shoboka -- tasliti, kuwa na tasliti

3. shoboka --- konda sana

4. kurupuka, kuwa na wahaka, pupa, chachawa

5. shoboka --- taabika, shidika, dhikika, tatizika

6. shoboka, shobokea --- jidukiza kwa mtu ili kumshawishi, bemba, ^kujipendesha^ au kujinatisha; kujitakisha kwa mtu; kutafuta kupendwa kwa nguvu

7. shoboka --- project (as in throwing a projectile)

8. shoboka --- jionesha kwa maringo kuwa bora kuliko wengine (show off)

9. shoboka --- when something is turned inside out (tumbua)

10. shobokea --- nahisisha mtu (empathize)
 
Amesema upande wa kipindi hichi cha alfajiri mkuu ndicho wamepewa vijana wadogo ambao kadri muda unavyokwenda wataweza kufanya vizuri zaidi.
Wewe utakuwa mzee tena above 50+ na unaamini watangazaji wazee tu...lakini niamini mimi hakuna habari sasaivi inayozidi ya UTV
 
Sidhani kama ni neno sahihi la kiswahili.
Ni maneno yanayozuka, maneno ya msimu.

Watangazaji wa hiko kipindi ni vijana sana na uwezo wao mdogo sana kwenye mambo mengi.

Wanapojaribu kujadili jambo au kuuliza maswali kwa wageni waalikwa kwenye kipindi ndio utachoka.

UTV wangekua wana waandaa na kuwapa maarifa kwa watakachoenda kuuliza au kujadili.

Wanatia uvivu kuendelea kuangalia hicho kipindi.

Hivyo kutumia neno kama hilo kwao sio tatizo. Umakini zero.
Sifa za lugha:
Lugha hukua, lugha husinyaa, lugha ufa.
 
Kushoboka sio neno la Kiswahili bali neno la makabila ya Kanda ya Ziwa hasa Wakerewe.
 
1. enamored --- shoboka
tamanishwa sana, pendezwa sana, penda sana, vutiwa sana, furahishwa sana, taka

2. shobo, shoboka -- tasliti, kuwa na tasliti

3. shoboka --- konda sana

4. kurupuka, kuwa na wahaka, pupa, chachawa

5. shoboka --- taabika, shidika, dhikika, tatizika

6. shoboka, shobokea --- jidukiza kwa mtu ili kumshawishi, bemba, ^kujipendesha^ au kujinatisha; kujitakisha kwa mtu; kutafuta kupendwa kwa nguvu

7. shoboka --- project (as in throwing a projectile)

8. shoboka --- jionesha kwa maringo kuwa bora kuliko wengine (show off)

9. shoboka --- when something is turned inside out (tumbua)

10. shobokea --- nahisisha mtu (empathize)
4na8 haswaa!
 
Back
Top Bottom