tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Nauliza tu.
Hivi kule NECTA (Baraza la Mitihani Tanzania) kuna watumishi hewa na vihiyo a.k.a Vi. La.za?
Kama wapo, ni nani amewahakiki. Na kama wamehakikiwa taarifa ya uhakiki iko wapi?
Tusijekuwa tunampa Fisi kusimamia na kuhakiki Bucha.
Nauliza tu!
Cc: Ndalichako (Waziri wa Elimu na Katibu Mtendaji NECTA wa zamani)
Hivi kule NECTA (Baraza la Mitihani Tanzania) kuna watumishi hewa na vihiyo a.k.a Vi. La.za?
Kama wapo, ni nani amewahakiki. Na kama wamehakikiwa taarifa ya uhakiki iko wapi?
Tusijekuwa tunampa Fisi kusimamia na kuhakiki Bucha.
Nauliza tu!
Cc: Ndalichako (Waziri wa Elimu na Katibu Mtendaji NECTA wa zamani)