Uchaguzi 2020 Hivi NEC walimuita Magufuli na Kumhoji juu ya kauli ya "Mkurugenzi nakulipa mshahara, nakupa gari halafu umtangaze mpinzani!!"

Nkobe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
2,162
3,162
NEC imemuita mmoja wa wagombea Urais kutoka chama fulani cha upinzani kumhoji juu ya kauli zake kwenye kampeni za uchaguzi, hivi kwanini hatujasikia NEC ikimuita na kumuhoji Rais Magufuli pale alipowataka wakurugenzi wasitangaze wapinzani hata kama wameshinda?
 
NEC imemuita mmoja wa wagombea Urais kutoka chama fulani cha upinzani kumhoji juu ya kauli zake kwenye kampeni za uchaguzi, hivi kwanini hatujasikia NEC ikimuita na kumuhoji Rais Magufuli pale alipowataka wakurugenzi wasitangaze wapinzani hata kama wameshinda?
Kuna miiko na maadili ya uchaguzi!
 
Tatizo ni kutokuwa na katiba mpya na tume huru ya Taifa ya uchaguzi.

IRP. Benjamin Mkapa.
 
NEC imemuita mmoja wa wagombea Urais kutoka chama fulani cha upinzani kumhoji juu ya kauli zake kwenye kampeni za uchaguzi, hivi kwanini hatujasikia NEC ikimuita na kumuhoji Rais Magufuli pale alipowataka wakurugenzi wasitangaze wapinzani hata kama wameshinda?
Hivi hii aliisema wapi?, kuna mtu anataka ushahidi hapa
 
NEC imemuita mmoja wa wagombea Urais kutoka chama fulani cha upinzani kumhoji juu ya kauli zake kwenye kampeni za uchaguzi, hivi kwanini hatujasikia NEC ikimuita na kumuhoji Rais Magufuli pale alipowataka wakurugenzi wasitangaze wapinzani hata kama wameshinda?
Utaanzaje kumhoji mtu wakati nawe unamsaidia kufanya vitendo hivyo.
 
NEC imemuita mmoja wa wagombea Urais kutoka chama fulani cha upinzani kumhoji juu ya kauli zake kwenye kampeni za uchaguzi, hivi kwanini hatujasikia NEC ikimuita na kumuhoji Rais Magufuli pale alipowataka wakurugenzi wasitangaze wapinzani hata kama wameshinda?
mkuu nec ni taasisi ya rais/ccm. Hawawezi kumuhoji mtu aliyewaajiri wakati bado wanaupenda mshahara. Tanzania haya ya sijui nec ni kiini macho hakuna tume pale ni janja janja hata raia wasipo mchagua mwajiri wao lazima watamtangaza kashinda!
 
Hii kauli aliitoa kabla ya kusign kitabu cha maadili !! kauli hii tunaiweka pending ingawa bado imo kichwani mwa watanzania wengi sana.
 
Tunaomba ushahidi na wengne tujue jamani hii kauli, mwenye nayo aiweke wengne hatujui alisema lini
 
Back
Top Bottom