Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,192
Kama hizo ndizo fikra zenu/zetu ni wazi tunajidanganya.
CCM ni mchwa uliozoea kula vinono kupitia mapungufu ya Taasisi tajwa hapo juu.CCM na watu wake kamwe hawawezi kakubali kuanzishwa kwa Taasisi huru ambazo kwayo itapelekea hata wao kuchunguzwa na hata kushtakiwa kwa makosa waliyopata kuyafanya huko nyuma.
Nini kifanyike;
Kwanza lazima wachache waliojitoa mhanga kupigania haki waungwe mkono na wasibezwe.
Pili Watanzania sote hasa vijana ni muda sahihi kujitoa mhanga kuitetea kesho yetu kutoka mkononi mwa hao mchwa wala keki ya Taifa.
Tatu si wakati wa hayo mapambano kuwaachia Chadema pekee bali tutambue kila awaye inampasa kuingia mzima mzima pasi na kujali changamoto zilizo mbele yetu.
Ni wakati sahihi kwa vijana kufanya lolote alipo litalokuwa chanya kwenye mapambano ya kuidai haki.
Ni wakati sahihi wa mbwai isiyo na majeraha kwa Nchi yetu.
Ni wakati sahihi kabisa wa kuipambania kesho yetu.
Tutambue,kumuua mwizi ama kibaha mwenye dhamira ya kukudhulumu wala si kosa kisheria.
Vilevile kufa ukiutetea uhuru wako napo si kosa kisheria.
CCM ni mchwa uliozoea kula vinono kupitia mapungufu ya Taasisi tajwa hapo juu.CCM na watu wake kamwe hawawezi kakubali kuanzishwa kwa Taasisi huru ambazo kwayo itapelekea hata wao kuchunguzwa na hata kushtakiwa kwa makosa waliyopata kuyafanya huko nyuma.
Nini kifanyike;
Kwanza lazima wachache waliojitoa mhanga kupigania haki waungwe mkono na wasibezwe.
Pili Watanzania sote hasa vijana ni muda sahihi kujitoa mhanga kuitetea kesho yetu kutoka mkononi mwa hao mchwa wala keki ya Taifa.
Tatu si wakati wa hayo mapambano kuwaachia Chadema pekee bali tutambue kila awaye inampasa kuingia mzima mzima pasi na kujali changamoto zilizo mbele yetu.
Ni wakati sahihi kwa vijana kufanya lolote alipo litalokuwa chanya kwenye mapambano ya kuidai haki.
Ni wakati sahihi wa mbwai isiyo na majeraha kwa Nchi yetu.
Ni wakati sahihi kabisa wa kuipambania kesho yetu.
Tutambue,kumuua mwizi ama kibaha mwenye dhamira ya kukudhulumu wala si kosa kisheria.
Vilevile kufa ukiutetea uhuru wako napo si kosa kisheria.